26 Juni : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: bcl:Hunyo 26 |
d roboti Nyongeza: mhr:26 пеледыш |
||
Mstari 91: | Mstari 91: | ||
[[lv:26. jūnijs]] |
[[lv:26. jūnijs]] |
||
[[mg:26 Jiona]] |
[[mg:26 Jiona]] |
||
[[mhr:26 пеледыш]] |
|||
[[mk:26 јуни]] |
[[mk:26 јуни]] |
||
[[ml:ജൂണ് 26]] |
[[ml:ജൂണ് 26]] |
Pitio la 22:14, 12 Julai 2009
Mei - Juni - Jul | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | |||||
Kalenda ya Gregori |
Matukio
- 1945 - Umoja wa Mataifa unaanzishwa mjini San Francisco na kuchukua nafasi ya Shirikisho la Mataifa.
- 1960 - Kisiwa cha Madagaska kinapata uhuru kutoka Ufaransa.
- 1960 - Somalia ya Kiingereza inapata uhuru kutoka Uingereza.
Waliozaliwa
- 1892 - Pearl S. Buck (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1938)
- 1941 - Omar Ali Juma, mwanasiasa kutoka Zanzibar
- 1942 - Gilberto Gil, mwanamuziki na Waziri wa Utamaduni wa Brazil
Waliofariki
- 1541 - Francisco Pizarro aliyevamia Peru na kuharibu Dola la Inka anauawa mjini Lima.
- 1943 - Karl Landsteiner (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1930)
- 1975 - Josemaría Escrivá
- 2007 - Amina Chifupa (Mbunge wa kiti maalum mwaka 2005 )