Derek Barton : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
mbegu-mtu
mbegu-mwanasayansi-Ulaya
Mstari 10: Mstari 10:
[[Category:Tuzo ya Nobel ya Kemia]]
[[Category:Tuzo ya Nobel ya Kemia]]


{{mbegu-mtu}}
{{mbegu-mwanasayansi-Ulaya}}


[[ar:ديريك هارولد بارتون]]
[[ar:ديريك هارولد بارتون]]

Pitio la 21:29, 10 Julai 2009

Derek Harold Richard Barton (8 Septemba, 191816 Machi, 1998) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Uingereza. Hasa alichunguza mfumo wa molekuli mbalimbali. Mwaka wa 1969, pamoja na Odd Hassel alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia. Mwaka wa 1972 alipewa cheo cha "Sir".

Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Derek Barton kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.