Paul Ehrlich : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
mbegu-mtu |
mbegu-mwanasayansi-Ulaya |
||
Mstari 5: | Mstari 5: | ||
{{DEFAULTSORT:Ehrlich, Paul}} |
{{DEFAULTSORT:Ehrlich, Paul}} |
||
{{mbegu- |
{{mbegu-mwanasayansi-Ulaya}} |
||
[[Jamii:Waliozaliwa 1854]] |
[[Jamii:Waliozaliwa 1854]] |
Pitio la 21:24, 10 Julai 2009
Paul Ehrlich (14 Machi, 1854 – 20 Agosti, 1915) alikuwa daktari na mwanakemia kutoka nchi ya Ujerumani. Pamoja na Sahachiro Hata aligundua dawa ya kutibu kaswende. Mwaka wa 1908, pamoja na Ilya Mechnikov alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.
Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani wa Ulaya bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Paul Ehrlich kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |