Pembenyingi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: lv:Daudzstūris
mbegu-sayansi
Mstari 17: Mstari 17:
</gallery>
</gallery>


{{stub}}
{{mbegu-sayansi}}


[[category:jiometria]]
[[category:jiometria]]

Pitio la 19:51, 10 Julai 2009

Pembenyingi (pia: poligoni) ni umbo bapa lenye pande tatu au zaidi.

Pembenyingi hutokea kama nukta kwenye tambarare zaunganishwa kwa mistari inayofunga eneo au maeneo ndani yao.

Katika jiometria ya tambarare pembenyingi sahili kabisa ni pembetatu.

Pembenyingi sahili haina mistari inayopandana. Ikipandana huitwa pembenyingi tata.

Mifano ya pembenyingi

Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Pembenyingi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.