Edward Albee : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
mbegu-mwandishi
mbegu-mwandishi-USA
Mstari 8: Mstari 8:
[[Category:Tuzo ya Pulitzer]]
[[Category:Tuzo ya Pulitzer]]


{{mbegu-mwandishi}}
{{mbegu-mwandishi-USA}}


[[ca:Edward Albee]]
[[ca:Edward Albee]]

Pitio la 23:15, 9 Julai 2009

Edward Albee, mwaka wa 1961

Edward Franklin Albee (amezaliwa 12 Machi, 1928) ni mwandishi wa tamthiliya kutoka nchi ya Marekani. Anajulikana hasa kwa tamthiliya yake “Nani Anaogopa Virginia Woolf?” (kwa Kiingereza: Who’s Afraid of Virginia Woolf?) iliyotolewa 1962. Kwa ajili ya tamthiliya zake za baadaye alikuwa mshindi wa Tuzo ya Pulitzer miaka ya 1967, 1976 na 1992.

Makala hii kuhusu mwandishi fulani wa Marekani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Edward Albee kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.