Waraka wa tatu wa Yohane : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: arc:ܐܓܪܬܐ ܕܬܠܬ ܕܝܘܚܢܢ |
d roboti Nyongeza: sr:Трећа посланица Јованова |
||
Mstari 46: | Mstari 46: | ||
[[sm:O le tusi e tolu a Ioane]] |
[[sm:O le tusi e tolu a Ioane]] |
||
[[sn:3 Johane]] |
[[sn:3 Johane]] |
||
[[sr:Трећа посланица Јованова]] |
|||
[[sv:Tredje Johannesbrevet]] |
[[sv:Tredje Johannesbrevet]] |
||
[[tl:Ikatlong Sulat ni Juan]] |
[[tl:Ikatlong Sulat ni Juan]] |
Pitio la 19:23, 9 Julai 2009
Barua ya tatu ya Yohane ni kimojawapo kati ya vitabu 27 vya Agano Jipya katika Biblia ya Kikristo.
Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.
Mwandishi
Kuhusu mwandishi wa barua hiyo lilichelewa kutajwa jina la Mtume Yohane kutokana na yaliyomo na mtindo wa uandishi wake.
Kama mwandishi si yeye, ni mmoja wa wanafunzi wake aliyeandikwa mwishoni mwa karne ya 1 huko Efeso.
Mlengwa
Mlengwa ni Gaio, anayedhaniwa kuwa kiongozi mmojawapo wa jumuia fulani kati ya zile zilizomtegemea Yohane.
Kiungo cha nje
- [1] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili