Umm al-Quwain : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: hy:Ումմ-ալ-Քուվեյն |
d jamii |
||
Mstari 11: | Mstari 11: | ||
Biashara ya wenyeji ilikuwa uvuwi, kujenga maboti ya dhau na kilimo cha [[mitende]] katika oasis ya Falaj al-mula. Leo hii Utalii imekuwa muhimu. |
Biashara ya wenyeji ilikuwa uvuwi, kujenga maboti ya dhau na kilimo cha [[mitende]] katika oasis ya Falaj al-mula. Leo hii Utalii imekuwa muhimu. |
||
==Viungo vya |
==Viungo vya nje== |
||
*[http://www.UAQ24.com UAQ24.com] - Shopping, Business, Events and more in Umm Al Quwain |
*[http://www.UAQ24.com UAQ24.com] - Shopping, Business, Events and more in Umm Al Quwain |
||
=====Magazeti ya Falme za Kiarabu===== |
=====Magazeti ya Falme za Kiarabu===== |
||
Mstari 24: | Mstari 23: | ||
[[ |
[[Jamii:Miji ya Falme za Kiarabu]] |
||
[[ar:إمارة أم القيوين]] |
[[ar:إمارة أم القيوين]] |
Pitio la 10:06, 8 Julai 2009
Umm al-Quwain (Kiar.: أمّ القيوين) ni utemi wa Shirikisho la Falme za Kiarabu kwenye rasi ya Uarabuni.
Iko katika kaskazini ya shirikisho kati ya Ajman na Ras al-Khaimah.
Mtawala wake ni Sheikh Rashid bin Ahmad Al Mu'alla (الشيخ راشد بن احمد المعلا).
Utemi una wakazi 62,000 (2003) katika eneo la 750 km². Haina mapato makubwa kutoka mafuta kama Abu Dhabi hivyo imebaki mji mdogo.
Biashara ya wenyeji ilikuwa uvuwi, kujenga maboti ya dhau na kilimo cha mitende katika oasis ya Falaj al-mula. Leo hii Utalii imekuwa muhimu.
Viungo vya nje
- UAQ24.com - Shopping, Business, Events and more in Umm Al Quwain