Kuala Lumpur : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Mbegu-jio-Asia
Mstari 40: Mstari 40:
[[gl:Kuala Lumpur]]
[[gl:Kuala Lumpur]]
[[he:קואלה לומפור]]
[[he:קואלה לומפור]]
[[hi:क्वालालंपुर]]
[[hi:क्वाला लंपुर]]
[[hr:Kuala Lumpur]]
[[hr:Kuala Lumpur]]
[[ht:Kouala Loumpou]]
[[ht:Kouala Loumpou]]

Pitio la 21:30, 30 Juni 2009

Kuala Lumpur (Jawi:كوالا لمڤور) ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Malaysia. Eneo lake ni km² 243.65 na idadi ya wakazi 1,453,978 (mwaka 2005).

Jiografia

Kuala Lumpur iko km 35 kutoka pwani la magharibi la rasi ya Malay mahali panapoungana mito ya Gombak na Klang kwenye 3° 09' 35" N 101° 42' 12" O3° 09' 35" N 101° 42' 12" O.

Viungo vya Nje


Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kuala Lumpur kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.