Port Bell : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Undo revision 221536 by 142.227.239.235 (Talk)
Jamii:Kampala
Mstari 8: Mstari 8:


[[Category:Miji ya Uganda]]
[[Category:Miji ya Uganda]]
[[Jamii:Kampala]]


[[de:Port Bell]]
[[de:Port Bell]]

Pitio la 19:17, 28 Juni 2009

Mahali pa Port Bell katika Uganda

Port Bell ni mji mdogo karibu na Kampala/ Uganda ufukoni wa ziwa la Viktoria Nyanza. Jina la mji limetokana na Sir Hesketh Bell aliyekuwa kamishna (gavana) Mwingereza huko Uganda kuanzia mw. 1905-1909.

Port Bell ni bandari kwa ajili ya Kampala. Feri zinatoka kwenda Jinja, Kisumu na Mwanza.

Kuna viwanda kadhaa kama vile Kiwanda cha Bia cha Uganda Breweries; bia ya Bell Lager inatengenezwa hapa. Kuna pia kiwanda cha pombe kali aina ya Waragi na kiwanda cha chai.