Port Bell : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Undo revision 221536 by 142.227.239.235 (Talk) |
Jamii:Kampala |
||
Mstari 8: | Mstari 8: | ||
[[Category:Miji ya Uganda]] |
[[Category:Miji ya Uganda]] |
||
[[Jamii:Kampala]] |
|||
[[de:Port Bell]] |
[[de:Port Bell]] |
Pitio la 19:17, 28 Juni 2009
Port Bell ni mji mdogo karibu na Kampala/ Uganda ufukoni wa ziwa la Viktoria Nyanza. Jina la mji limetokana na Sir Hesketh Bell aliyekuwa kamishna (gavana) Mwingereza huko Uganda kuanzia mw. 1905-1909.
Port Bell ni bandari kwa ajili ya Kampala. Feri zinatoka kwenda Jinja, Kisumu na Mwanza.
Kuna viwanda kadhaa kama vile Kiwanda cha Bia cha Uganda Breweries; bia ya Bell Lager inatengenezwa hapa. Kuna pia kiwanda cha pombe kali aina ya Waragi na kiwanda cha chai.