Kyushu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Jamii:Kyushu
Picha:Japan Kyushu Region large.png
Mstari 1: Mstari 1:
[[Picha:Japan kyushu map small.png|thumb|right|200px|Mahali pa Kyūshū katika Japani]]
[[Picha:Japan Kyushu Region large.png|thumb|right|300px|Mahali pa Kyūshū katika Japani]]
'''Kyūshū''' ni kisiwa kikubwa cha tatu nchini [[Japani]] na [[kisiwa]] cha kusini kati ya visiwa vikubwa vinne vya nchi. Neno ''kyushu'' lamaanisha "mikoa tisa" iliyohesabiwa zamani kisiwani.
'''Kyūshū''' ni kisiwa kikubwa cha tatu nchini [[Japani]] na [[kisiwa]] cha kusini kati ya visiwa vikubwa vinne vya nchi. Neno ''kyushu'' lamaanisha "mikoa tisa" iliyohesabiwa zamani kisiwani.



Pitio la 16:52, 28 Juni 2009

Mahali pa Kyūshū katika Japani

Kyūshū ni kisiwa kikubwa cha tatu nchini Japani na kisiwa cha kusini kati ya visiwa vikubwa vinne vya nchi. Neno kyushu lamaanisha "mikoa tisa" iliyohesabiwa zamani kisiwani.

Idadi ya wakzi ilikuwa 14,779,000 mnamo mwaka 2003.

Kuna milima mingi pamoja na volkeno kama vile mlima Aso (1,592 m) ambayo ni volkeno hai.

Miji muhimu ni Fukuoka, Kitakyūshū na Nagasaki.

Hali ya hewa ni la joto wastani. Mazao ya mpunga, chai, tumbako, viazi na soya hustawi vizuri.