Giorgos Seferis : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
mbegu-mwandishi |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: hu:Jorgosz Szeferisz |
||
Mstari 31: | Mstari 31: | ||
[[hi:ज्योर्जोस सेफेरिस]] |
[[hi:ज्योर्जोस सेफेरिस]] |
||
[[hr:Giorgos Seferis]] |
[[hr:Giorgos Seferis]] |
||
[[hu:Jorgosz Szeferisz]] |
|||
[[id:Giorgos Seferis]] |
[[id:Giorgos Seferis]] |
||
[[is:Giorgos Seferis]] |
[[is:Giorgos Seferis]] |
Pitio la 00:53, 25 Juni 2009
George Seferis (13 Machi, 1900 – 20 Septemba, 1971) alikuwa mwanasiasa na mshairi kutoka nchi ya Ugiriki. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giorgios Stylianou Seferiades. Miaka ya 1957-1962 alikuwa balozi Mgiriki kwa Uingereza. Mwaka wa 1963 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Giorgos Seferis kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |