Umm al-Quwain : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: lmo:Umm al-Quwain Badiliko: it:Umm al-Qaywayn |
d roboti Nyongeza: hy:Ումմ-ալ-Քուվեյն |
||
Mstari 40: | Mstari 40: | ||
[[he:אום אל-קיוין]] |
[[he:אום אל-קיוין]] |
||
[[hi:उम अल क्वैन]] |
[[hi:उम अल क्वैन]] |
||
[[hy:Ումմ-ալ-Քուվեյն]] |
|||
[[id:Umm al-Qaiwain]] |
[[id:Umm al-Qaiwain]] |
||
[[it:Umm al-Qaywayn]] |
[[it:Umm al-Qaywayn]] |
Pitio la 01:04, 24 Juni 2009
Umm al-Quwain (Kiar.: أمّ القيوين) ni utemi wa Shirikisho la Falme za Kiarabu kwenye rasi ya Uarabuni.
Iko katika kaskazini ya shirikisho kati ya Ajman na Ras al-Khaimah.
Mtawala wake ni Sheikh Rashid bin Ahmad Al Mu'alla (الشيخ راشد بن احمد المعلا).
Utemi una wakazi 62,000 (2003) katika eneo la 750 km². Haina mapato makubwa kutoka mafuta kama Abu Dhabi hivyo imebaki mji mdogo.
Biashara ya wenyeji ilikuwa uvuwi, kujenga maboti ya dhau na kilimo cha mitende katika oasis ya Falaj al-mula. Leo hii Utalii imekuwa muhimu.
Viungo vya Nje
- UAQ24.com - Shopping, Business, Events and more in Umm Al Quwain