Umm al-Quwain : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: lmo:Umm al-Quwain Badiliko: it:Umm al-Qaywayn
Mstari 40: Mstari 40:
[[he:אום אל-קיוין]]
[[he:אום אל-קיוין]]
[[hi:उम अल क्वैन]]
[[hi:उम अल क्वैन]]
[[hy:Ումմ-ալ-Քուվեյն]]
[[id:Umm al-Qaiwain]]
[[id:Umm al-Qaiwain]]
[[it:Umm al-Qaywayn]]
[[it:Umm al-Qaywayn]]

Pitio la 01:04, 24 Juni 2009

Bendera ya Umm al-Quwain
Falme za Kiarabu

Umm al-Quwain (Kiar.: أمّ القيوين) ni utemi wa Shirikisho la Falme za Kiarabu kwenye rasi ya Uarabuni.

Iko katika kaskazini ya shirikisho kati ya Ajman na Ras al-Khaimah.

Mtawala wake ni Sheikh Rashid bin Ahmad Al Mu'alla (الشيخ راشد بن احمد المعلا).

Utemi una wakazi 62,000 (2003) katika eneo la 750 km². Haina mapato makubwa kutoka mafuta kama Abu Dhabi hivyo imebaki mji mdogo.

Biashara ya wenyeji ilikuwa uvuwi, kujenga maboti ya dhau na kilimo cha mitende katika oasis ya Falaj al-mula. Leo hii Utalii imekuwa muhimu.

Viungo vya Nje

  • UAQ24.com - Shopping, Business, Events and more in Umm Al Quwain


Magazeti ya Falme za Kiarabu