Meles Zenawi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: it:Meles Zenawi
d roboti Nyongeza: ms:Meles Zenawi; cosmetic changes
Mstari 1: Mstari 1:
[[Image:Meles Zenawi.jpg|thumb|Meles Zenawi]]
[[Picha:Meles Zenawi.jpg|thumb|Meles Zenawi]]


'''Meles Zenawi''' (*[[9 Mei]] [[1955]] mjini [[Adowa]], jimbo la [[Tigray]]) ni waziri mkuu wa [[Ethiopia]] tangu [[22 Agosti]] [[1995]]. Alitangulia kuwa rais wa nchi kati ya [[28 Mei]] [[1991]] na [[22 Agosti]] [[1995]].
'''Meles Zenawi''' (*[[9 Mei]] [[1955]] mjini [[Adowa]], jimbo la [[Tigray]]) ni waziri mkuu wa [[Ethiopia]] tangu [[22 Agosti]] [[1995]]. Alitangulia kuwa rais wa nchi kati ya [[28 Mei]] [[1991]] na [[22 Agosti]] [[1995]].


==Historia yake==
== Historia yake ==
Zenawi alikuwa mwanafunzi wa [[tiba]] kwenye [[chuo kikuu]] cha [[Addis Ababa]] wakati wa [[mapinduzi ya Ethiopia ya 1974|mapinduzi ya kikomunisti ya Ethiopia]] ya mwaka [[1974]]. 1975 aliacha masomo akarudi kwake Tigray akajiunga na [[Harakati ya Ukombozi wa Tigray TPLF]] iliyopinga serikali mpya. Tangu 1985 aliongoza TPLF.
Zenawi alikuwa mwanafunzi wa [[tiba]] kwenye [[chuo kikuu]] cha [[Addis Ababa]] wakati wa [[mapinduzi ya Ethiopia ya 1974|mapinduzi ya kikomunisti ya Ethiopia]] ya mwaka [[1974]]. 1975 aliacha masomo akarudi kwake Tigray akajiunga na [[Harakati ya Ukombozi wa Tigray TPLF]] iliyopinga serikali mpya. Tangu 1985 aliongoza TPLF.
1989 alikuwa mwenyekiti wa ushirikiano wa TPLF na vikundi vingine vya upinzani kutoka sehemu mbalimbali za Ethiopia.
1989 alikuwa mwenyekiti wa ushirikiano wa TPLF na vikundi vingine vya upinzani kutoka sehemu mbalimbali za Ethiopia.


Baada ya kupinduliwa kwa serikali ya kikomunisti ya [[Mengistu]] katika Mei 1991 Zenawi aliteuliwa kuwa Rais.
Baada ya kupinduliwa kwa serikali ya kikomunisti ya [[Mengistu]] katika Mei 1991 Zenawi aliteuliwa kuwa Rais.


1995 katiba ilibadilishwa. Cheo cha [[Waziri Mkuu]] kilikuwa cheo chenye uzito kuliko [[rais]] na Zenawi alihamia katika ofisi ya waziri mkuu.
1995 katiba ilibadilishwa. Cheo cha [[Waziri Mkuu]] kilikuwa cheo chenye uzito kuliko [[rais]] na Zenawi alihamia katika ofisi ya waziri mkuu.


==Elimu na maisha ya binafsi==
== Elimu na maisha ya binafsi ==
Meles Zenawi ameshika shahada ya MA ya utawala wa biashara kutoka Uingereza na MSc ya uchumi kutoka Uholanzi.
Meles Zenawi ameshika shahada ya MA ya utawala wa biashara kutoka Uingereza na MSc ya uchumi kutoka Uholanzi.


Mstari 17: Mstari 17:


{{DEFAULTSORT:Zenawi, Meles}}
{{DEFAULTSORT:Zenawi, Meles}}

[[Category:Waliozaliwa 1955]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1955]]
[[Category:Wanasiasa wa Ethiopia]]
[[Category:Marais wa Ethiopia]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Ethiopia]]
[[Category:Waziri Wakuu wa Ethiopia]]
[[Jamii:Marais wa Ethiopia]]
[[Jamii:Waziri Wakuu wa Ethiopia]]


[[am:መለስ ዜናዊ]]
[[am:መለስ ዜናዊ]]
Mstari 41: Mstari 42:
[[ja:メレス・ゼナウィ]]
[[ja:メレス・ゼナウィ]]
[[ko:멜레스 제나위]]
[[ko:멜레스 제나위]]
[[ms:Meles Zenawi]]
[[nl:Meles Zenawi]]
[[nl:Meles Zenawi]]
[[no:Meles Zenawi]]
[[no:Meles Zenawi]]

Pitio la 19:35, 23 Juni 2009

Meles Zenawi

Meles Zenawi (*9 Mei 1955 mjini Adowa, jimbo la Tigray) ni waziri mkuu wa Ethiopia tangu 22 Agosti 1995. Alitangulia kuwa rais wa nchi kati ya 28 Mei 1991 na 22 Agosti 1995.

Historia yake

Zenawi alikuwa mwanafunzi wa tiba kwenye chuo kikuu cha Addis Ababa wakati wa mapinduzi ya kikomunisti ya Ethiopia ya mwaka 1974. 1975 aliacha masomo akarudi kwake Tigray akajiunga na Harakati ya Ukombozi wa Tigray TPLF iliyopinga serikali mpya. Tangu 1985 aliongoza TPLF. 1989 alikuwa mwenyekiti wa ushirikiano wa TPLF na vikundi vingine vya upinzani kutoka sehemu mbalimbali za Ethiopia.

Baada ya kupinduliwa kwa serikali ya kikomunisti ya Mengistu katika Mei 1991 Zenawi aliteuliwa kuwa Rais.

1995 katiba ilibadilishwa. Cheo cha Waziri Mkuu kilikuwa cheo chenye uzito kuliko rais na Zenawi alihamia katika ofisi ya waziri mkuu.

Elimu na maisha ya binafsi

Meles Zenawi ameshika shahada ya MA ya utawala wa biashara kutoka Uingereza na MSc ya uchumi kutoka Uholanzi.

Amemwoa Azeb Mesfin; wana watoto watatu. Inasemakana Meles anapenda kusoma, kuogelea na tennis.