Simu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: arz:تيليفون
d roboti Nyongeza: ne:टेलिफोन
Mstari 63: Mstari 63:
[[nah:Huehcacaquiztli]]
[[nah:Huehcacaquiztli]]
[[nds-nl:Tillefoon]]
[[nds-nl:Tillefoon]]
[[ne:टेलिफोन]]
[[nl:Telefoontoestel]]
[[nl:Telefoontoestel]]
[[nn:Telefon]]
[[nn:Telefon]]

Pitio la 08:51, 23 Juni 2009

Simu

Simu ni chombo cha umeme. Mamtumizi ya simu, ni kwa ajili ya watu wawili waliokatika sehemu mbili tofauti na wanaweza kuongea. Bimaana ni chombo cha mawasiliano. Awali simu ilihitajika iuanganishwe na nyaya. Lakini leo hii simu inaweza kutumwa kwa kutumia redio. Hii nayo inaitwa nyayatupu, siwaya au simu bila waya.

Watu wengi wanaamini kuwa sumu iligunduliwa mnamo 1876 na Alexander Graham Bell. Alikuwa mtu mwenye umri wa miaka 29 aliyeishi nchini Marekani akiwa kama Muuskoti. Lakini Antonio Meucci alianzisha na kuanza kutoa matumizi ya simu toka kunako mwaka wa 1871 huko Marekani.