Ansgar Mtakatifu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: id:Ansgar |
mbegu-Mkristo |
||
Mstari 12: | Mstari 12: | ||
{{mbegu}} |
{{mbegu-Mkristo}} |
||
Pitio la 09:40, 22 Juni 2009
Mtakatifu Ansgar (labda 800 – 865) alikuwa askofukutoka Ufaransa. Ametambuliwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni 3 Februari.
Maisha
Ansgar alizaliwa Ufaransa mwanzoni mwa karne ya tisa. Alisoma katika monasteri huko Corbie. Mwaka wa 826 alienda kuhubiri injili Denmark. Denmark hakufanikisha sana, akaenda Uswidi. Aliteuliwa kuwa Askofu wa Hamburg, upande wa kaskazini wa Ujerumani. Pia alikuwa mjumbe wa Papa Gregori IV katika Denmark na Uswidi. Alivumilia magumu mengi sana katika kazi ya kueneza injili, lakini hakukata tamaa. Alikufa mwaka wa 865.
Tazama pia
Marejeo
- "Sala ya Kanisa - Vipindi vya Liturjia", Toleo la Tatu 1996, Ndanda - Peramiho: Benedictine Publications, uk.1281
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |