Granada : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: eu:Granada (Andaluzia)
d roboti Nyongeza: ta:கிரனாதா
Mstari 67: Mstari 67:
[[sr:Гранада]]
[[sr:Гранада]]
[[sv:Granada (stad)]]
[[sv:Granada (stad)]]
[[ta:கிரனாதா]]
[[th:กรานาดา]]
[[th:กรานาดา]]
[[tr:Granada (şehir)]]
[[tr:Granada (şehir)]]

Pitio la 02:59, 22 Juni 2009

Uwanja wa simba katika Alhambra mjini Granada
Mlango wa kanisa kuu la Granada

Granada ni mji katika kusini ya Hispania kwenye jimbo la Andalusia. Kuna wakazi 233,000. Uko mguuni wa milima ya Sierra Nevada katika bonde la mito Genil na Darro inayokutana mjini.

Mji una majengo mashuhuri sana kama vile Alhambra na makanisa yake. Kati ya 711 hadi 1492 ilitawaliwa na Waarabu. Athira ya Kiarabu huonekana katika majengo ya kihistoria hadi leo hii.

Viungo vya Nje