Auguste Beernaert : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: vi:Auguste Beernaert |
mbegu-mwanasiasa |
||
Mstari 11: | Mstari 11: | ||
[[Category:Tuzo ya Nobel ya Amani]] |
[[Category:Tuzo ya Nobel ya Amani]] |
||
{{mbegu}} |
{{mbegu-mwanasiasa}} |
||
[[ar:أوجست ماري فرنسوا برناريت]] |
[[ar:أوجست ماري فرنسوا برناريت]] |
Pitio la 11:52, 17 Juni 2009
Auguste Marie Francois Beernaert (26 Julai, 1829 – 6 Oktoba, 1912) alikuwa mwanasheria na mwanasiasa kutoka nchi ya Ubelgiji. Kuanzia 1884 hadi 1894 alikuwa Waziri Mkuu na Waziri wa Fedha. Baadaye alikuwa mwakilishi wa Ubelgiji kwenye mikutano ya amani iliyofanyika katika mji wa The Hague mwaka wa 1899 na wa 1907. Mwaka wa 1909, pamoja na Paul d’Estournelles alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Auguste Beernaert kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |