Yohannes III : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
'''Yohannes III''' (amezaliwa takriban [[1797]]) alikuwa mfalme wa [[Ethiopia]]. Kati ya [[1840]] na [[1851]], Yohannes III na binamu yake, [[Sahle Dengel]], waliondoshana madarakani na kurudishiwa utawala mara kwa mara. Aliyemaliza fitina hiyo na kuwafuata ni [[Tewodros II]]. Yohannes III alikuwa mwana wa mwisho wa [[nasaba ya Solomoni]]. Haijulikani kama amefariki mwaka wa 1851, Tewodros II alipoanza utawala, au akiendelea kuishi hadi miaka ya 1870.
'''Yohannes III''' (amezaliwa takriban [[1797]]) alikuwa mfalme wa [[Ethiopia]]. Kati ya [[1840]] na [[1851]], Yohannes III na binamu yake, [[Sahle Dengel]], waliondoshana madarakani na kurudishiwa utawala mara kwa mara. Aliyemaliza fitina hiyo na kuwafuata ni [[Tewodros II]]. Yohannes III alikuwa mwana wa mwisho wa [[nasaba ya Solomoni]]. Haijulikani kama amefariki mwaka wa 1851, Tewodros II alipoanza utawala, au akiendelea kuishi hadi miaka ya 1870.


{{mbegu}}
{{mbegu-mwanasiasa}}


{{DEFAULTSORT:Yohannes III}}
{{DEFAULTSORT:Yohannes III}}

Pitio la 19:47, 16 Juni 2009

Yohannes III (amezaliwa takriban 1797) alikuwa mfalme wa Ethiopia. Kati ya 1840 na 1851, Yohannes III na binamu yake, Sahle Dengel, waliondoshana madarakani na kurudishiwa utawala mara kwa mara. Aliyemaliza fitina hiyo na kuwafuata ni Tewodros II. Yohannes III alikuwa mwana wa mwisho wa nasaba ya Solomoni. Haijulikani kama amefariki mwaka wa 1851, Tewodros II alipoanza utawala, au akiendelea kuishi hadi miaka ya 1870.

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Yohannes III kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.