Maputo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: pl:Maputo |
mbegu-jio-Afrika |
||
Mstari 12: | Mstari 12: | ||
*[http://maputo.visitusinmaputo.com Utalii Maputo [[Kin]]] |
*[http://maputo.visitusinmaputo.com Utalii Maputo [[Kin]]] |
||
{{mbegu}} |
{{mbegu-jio-Afrika}} |
||
Pitio la 09:17, 16 Juni 2009
Maputo ni mji mkuu wa Msumbiji. Hadi 1976 ilijulikana kwa jina la Kireno la Lourenço-Marquès. Serikali mpya ya Msumbiji huru chini ya rais Samora Machel iliipa jina jipya la Maputo.
Mji una wakazi 1,200,000 (pamoja na mitaa ya nje: 1,800,000). Uchumi wake unategemea sana bandari yake kwenye hori ya Maputo ya Bahari Hindi.
Mito miwili inaishia kwenye hori ni Tembe na Maputo.
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Maputo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |