Fresno, California : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
+ infobox
mbegu-jio
Mstari 28: Mstari 28:




{{stub}}
{{mbegu-jio}}


[[Category:Miji ya Marekani]]
[[Category:Miji ya Marekani]]

Pitio la 18:31, 15 Juni 2009


Jiji la Fresno
Nchi Marekani
Jimbo California
Kitongoji Fresno
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 500,017
Tovuti:  www.fresno.gov

Fresno ni mji wa tano kwa ukubwa katika California. Eneo lake ni 271.4 km² kuna wakazi 500,017 (2007). Mji upo m 90 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Fresno ni kati ya California baina ya Los Angeles na San Francisco.

Mji uliundwa mwaka 1856. Jina la kwanza la mji lilikuwa Millerton.

Jina la Fresno ni ya Kihispania, maana yake ni mti wa ash.


Viungo vya Nje


Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.