Gloria Macapagal Arroyo : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
mbegu-mtu
Mstari 14: Mstari 14:
{{Commons}}
{{Commons}}


{{Mbegu}}
{{mbegu-mtu}}


{{DEFAULTSORT:Arroyo, Gloria}}
{{DEFAULTSORT:Arroyo, Gloria}}

Pitio la 18:12, 15 Juni 2009

Rais wa Ufilipino Gloria Macapagal Arroyo

Gloria Macapagal Arroyo (amezaliwa tar. 5 Aprili, 1947) Pia anafamika kwa jina la ufupi kama G.M.A, ni rais wa 14 wa Ufilipino, Ambaye kwa sasa ndiye anae ongoza nchi ya Ufilipino.

Ni rais wa pili wa kike kuongoza nchi ya Ufilipino baada ya Corazon Aquino. ni binti wa rais wa zamani wa Ufilipino mzee Diosdado Macapagal. Kabla ya kuwa rais, mwanzoni alikuwa makamo wa rais wa Ufilipino.

Viungo vya Nje


WikiMedia Commons
WikiMedia Commons


Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Gloria Macapagal Arroyo kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.