Bloemfontein : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: zh-min-nan:Bloemfontein |
mbegu-jio |
||
Mstari 11: | Mstari 11: | ||
{{mbegu}} |
{{mbegu-jio}} |
||
[[Category:Miji ya Afrika Kusini]] |
[[Category:Miji ya Afrika Kusini]] |
Pitio la 17:58, 15 Juni 2009
Bloemfontein (tamka: "Blumfontain" - Kiholanzi/Kiafrikaans "chemchemi ya maua") ni kati ya miji mikuu mitatu ya Afrika Kusini pamoja na Pretoria na Cape Town. Jina la Kisotho ni Mangaung linalomaanisha "kwa duma". Bloemfountain ni makao ya Mahakama Kuu ya Afrika Kusini pia mju mkuu wa mkoa wa Vrystaat (au: Free State - "Dola huru").
Mji uko kwenye uwanja wa juu wenye kimo cha 1,395 m juu ya UB.
Mji mwenyewe una takriban wakazi 500,000. Kuna mji wa pili pamoja nao wa Mangaung wa wakazi 650,000 uliojengwa wakati wa utawala wa ubaguzi wa rangi kwa ajili ya watu weusi.
Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
|