Sani Abacha : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
mbegu-mtu |
||
Mstari 14: | Mstari 14: | ||
{{ |
{{mbegu-mtu}} |
||
{{DEFAULTSORT:Abacha, Sani}} |
{{DEFAULTSORT:Abacha, Sani}} |
Pitio la 17:22, 15 Juni 2009
Jenerali Sani Abacha (20 Septemba, 1943 – 8 Juni, 1998) alikuwa kiongozi wa kijeshi wa Nigeria, pia alikuwa mwanasiasa. Kuanzia mwaka wa 1993 hadi kifo chake mwaka wa 1998 alikuwa Rais wa kumi wa nchi ya Nigeria.
Maisha
Abacha alizaliwa mjini Kano tar. 20 Septemba mwaka 1943.
Urais
Abacha alitanguliwa na Rais Ernest Shonekan.
Kama Rais, Abacha alifahamika sana kwa udikteta. Baada ya kifo cha Abacha, akakamata madaraka Abdulsalami Abubakar aliyekaa madarakani kwa muda wa mwaka mmoja tu, kisha uchaguzi wa kitaifa ukapita.
Viungo vya Nje
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Sani Abacha kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |