Henri Dunant : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: tl:Henri Dunant; cosmetic changes
mbegu-mtu
Mstari 5: Mstari 5:


{{DEFAULTSORT:Dunant, Henri}}
{{DEFAULTSORT:Dunant, Henri}}
{{mbegu}}
{{mbegu-mtu}}


{{Link FA|de}}
{{Link FA|de}}

Pitio la 17:19, 15 Juni 2009

Henri Dunant, takriban 1860

Henri Dunant (8 Mei, 182830 Oktoba, 1910) alikuwa mwandishi na mfadhili wa nchi ya Uswisi. Mwaka wa 1859 alianzisha Chama cha Kimataifa cha Msalaba Mwekundu. Pia alisababisha Mapatano ya Geneva. Mwaka wa 1901, pamoja na Frederic Passy, alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.


Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Henri Dunant kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Kigezo:Link FA