Auguste Beernaert : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: ru:Беернарт, Огюст |
d roboti Nyongeza: vi:Auguste Beernaert |
||
Mstari 34: | Mstari 34: | ||
[[ru:Беернарт, Огюст]] |
[[ru:Беернарт, Огюст]] |
||
[[sv:Auguste Beernaert]] |
[[sv:Auguste Beernaert]] |
||
[[vi:Auguste Beernaert]] |
|||
[[vls:August Beernaert]] |
[[vls:August Beernaert]] |
||
[[zh:奥古斯特·贝尔纳特]] |
[[zh:奥古斯特·贝尔纳特]] |
Pitio la 17:55, 14 Juni 2009
Auguste Marie Francois Beernaert (26 Julai, 1829 – 6 Oktoba, 1912) alikuwa mwanasheria na mwanasiasa kutoka nchi ya Ubelgiji. Kuanzia 1884 hadi 1894 alikuwa Waziri Mkuu na Waziri wa Fedha. Baadaye alikuwa mwakilishi wa Ubelgiji kwenye mikutano ya amani iliyofanyika katika mji wa The Hague mwaka wa 1899 na wa 1907. Mwaka wa 1909, pamoja na Paul d’Estournelles alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |