Nebraska : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ml:നെബ്രാസ്ക |
Jamii:Nebraska |
||
Mstari 15: | Mstari 15: | ||
{{Marekani}} |
{{Marekani}} |
||
[[Category:Majimbo ya Marekani]] |
[[Category:Majimbo ya Marekani]] |
||
[[Jamii:Nebraska| ]] |
|||
[[af:Nebraska]] |
[[af:Nebraska]] |
Pitio la 09:48, 12 Juni 2009
Nebraska ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Iko katikati ya Marekani bara ikipakana na majimbo ya South Dakota, Iowa, Missouri, Kansas, Colorado na Wyoming.
Mji mkuu ni Lincoln na mji mkubwa jimboni ni Omaha. Jimbo lina wakazi 1,711,263 (2000) wanaokalia eneo la kilomita za mraba 200,520.
Nebraska ni hasa jimbo la kilimo cha mahindi pamoja na ufugaji wa ng'ombe.
Hali ya hewa ni majira ya joto na baridi kali. Wakati wa Julai/Agosti halijoto hufikia +30°C inayoshuka hadi -20°C wakati wa January.
Eneo la Nebraska lilitwaliwa na Marekani mwaka 1854. Baada ya vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Marekani eneo likapewa cheo cha jimbo kamili.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |