Nouméa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: nl:Nouméa (stad) |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: ar:نوميا; cosmetic changes |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[ |
[[Picha:Kaledonia Mpya Grande terre.png|thumb|250px|Mahali pa Noumea kwenye kisiwa cha Grande Terre]] |
||
[[ |
[[Picha:Kiosque.jpg|thumb|250px|Bustani kwenye kitovu cha mji]] |
||
'''Noumea''' (pia: '''Numea''') ni mji mkuu wa [[Kaledonia Mpya]] (Kifaransa: Nouvelle-Calédonie - ''nuvel kaledoni'') ambayo ni [[eneo la ng'ambo la Ufaransa]] katika bahari ya [[Pasifiki]]. |
'''Noumea''' (pia: '''Numea''') ni mji mkuu wa [[Kaledonia Mpya]] (Kifaransa: Nouvelle-Calédonie - ''nuvel kaledoni'') ambayo ni [[eneo la ng'ambo la Ufaransa]] katika bahari ya [[Pasifiki]]. |
||
Mstari 7: | Mstari 7: | ||
Uchumi wa Noumea hutegema utalii pamoja na migodi ya nikeli. |
Uchumi wa Noumea hutegema utalii pamoja na migodi ya nikeli. |
||
==Viungo vya Nje== |
== Viungo vya Nje == |
||
* [http://www.ville-noumea.nc/ Tovuti ya manisipaa ya Noumea] (Kifaransa) |
* [http://www.ville-noumea.nc/ Tovuti ya manisipaa ya Noumea] (Kifaransa) |
||
[[Anwani ya kijiografia]] : 22°16'33"S, 66°27'29"E |
[[Anwani ya kijiografia]] : 22°16'33"S, 66°27'29"E |
||
⚫ | |||
⚫ | |||
[[ar:نوميا]] |
|||
⚫ | |||
⚫ | |||
[[bg:Нумеа]] |
[[bg:Нумеа]] |
||
[[cs:Nouméa]] |
[[cs:Nouméa]] |
Pitio la 23:40, 11 Juni 2009
Noumea (pia: Numea) ni mji mkuu wa Kaledonia Mpya (Kifaransa: Nouvelle-Calédonie - nuvel kaledoni) ambayo ni eneo la ng'ambo la Ufaransa katika bahari ya Pasifiki.
Mji ulianzishwa mwaka 1854 kwa jina la "Port-de-France" (Bandari ya Ufaransa) kwenye rasi ya kusini ya kisiwa cha Grande Terre. Idadi ya wakazi wake imefikia watu 91.000.
Uchumi wa Noumea hutegema utalii pamoja na migodi ya nikeli.
Viungo vya Nje
- Tovuti ya manisipaa ya Noumea (Kifaransa)
Anwani ya kijiografia : 22°16'33"S, 66°27'29"E