George Santayana : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ko:조지 산타야나 |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[Image:George Santayana.jpg|right|thumb|George Santayana]] |
|||
'''George Santayana''' ([[16 Desemba]], [[1863]] – [[26 Septemba]], [[1952]]) alikuwa mwanafalsafa na mwandishi. Akiwa raia wa [[Hispania]] alilelewa na kusoma [[Marekani]], kwa hiyo aliandika kwa lugha ya [[Kiingereza]] tu na kuangaliwa kama mwandishi Mmarekani. Anajulikana hasa kwa usemi wake "Wasiojifunza kutoka historia watairudia" (kwa Kiingereza: "Those who cannot learn from history are doomed to repeat it"). |
'''George Santayana''' ([[16 Desemba]], [[1863]] – [[26 Septemba]], [[1952]]) alikuwa mwanafalsafa na mwandishi. Akiwa raia wa [[Hispania]] alilelewa na kusoma [[Marekani]], kwa hiyo aliandika kwa lugha ya [[Kiingereza]] tu na kuangaliwa kama mwandishi Mmarekani. Anajulikana hasa kwa usemi wake "Wasiojifunza kutoka historia watairudia" (kwa Kiingereza: "Those who cannot learn from history are doomed to repeat it"). |
||
Pitio la 14:34, 3 Juni 2009
George Santayana (16 Desemba, 1863 – 26 Septemba, 1952) alikuwa mwanafalsafa na mwandishi. Akiwa raia wa Hispania alilelewa na kusoma Marekani, kwa hiyo aliandika kwa lugha ya Kiingereza tu na kuangaliwa kama mwandishi Mmarekani. Anajulikana hasa kwa usemi wake "Wasiojifunza kutoka historia watairudia" (kwa Kiingereza: "Those who cannot learn from history are doomed to repeat it").
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |