Bradha : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
d roboti Badiliko: it:Frate
Mstari 13: Mstari 13:
[[es:Fraile]]
[[es:Fraile]]
[[id:Bruder]]
[[id:Bruder]]
[[it:Frate (religione)]]
[[it:Frate]]
[[nl:Frater (religieus)]]
[[nl:Frater (religieus)]]
[[no:Lekbror]]
[[no:Lekbror]]

Pitio la 11:30, 29 Mei 2009

Bradha Mfransisko

Bradha au bruda ni namna ya kutaja watawa wanaume Wakristo wasio makasisi. Maneno haya yamepokelewa katika Kiswahili kutoka Kiingereza "brother" au Kijerumani "Bruder".

Hali ya kuwekwa wakfu kwa kuahidi utekelezaji wa mashauri ya Kiinjili (useja mtakatifu, ufukara, utiifu)) inajitosheleza kama ilivyo kwa masista. Kwa kuwa lengo la utawa si kuongoza Kanisa kwa mamlaka inayotokana na daraja takatifu au kutoa huduma za kipadri, bali ni kulenga utakatifu, yaani upendo kamili.