Paul Simon : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
dNo edit summary
d robot Adding: cs:Paul Simon
Mstari 5: Mstari 5:
[[Category:Wanamuziki]]
[[Category:Wanamuziki]]


[[cs:Paul Simon]]
[[da:Paul Simon]]
[[da:Paul Simon]]
[[de:Paul Simon]]
[[de:Paul Simon]]

Pitio la 20:47, 19 Novemba 2006

Paul Simon ni mwanamuziki wa country, anaimba na kupiga gitaa. Amewahi kushirikiana na wanamuziki wengi; moja ya makundi hayo ni Ladysmith Black Mambazo. Nyimbo alizowahi kuimba ni "Homeless", "Mother and child reunion" na "Diamond in the sole of her shoes".

Paul Simon alizaliwa tarehe 13 Oktoba, 1941 katika mji wa Newark Height, New Jersey. Huko alifahamika kama muimbaji na mtunzi mwenye asili ya kiyahudi. Aliwahi kufunga ndoa mara tatu, ana watoto wanne. Mmojawapo ni mpigaji gitaa kama baba yake.