Falme za Kiarabu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Mstari 154: Mstari 154:
[[ko:아랍에미리트]]
[[ko:아랍에미리트]]
[[ku:Mîrnişînên Erebî yên Yekbûyî]]
[[ku:Mîrnişînên Erebî yên Yekbûyî]]
[[kv:Ӧтувтӧм Араб Эмиратъяс]]
[[kv:Ӧтувтчӧм Араб Эмиратъяс]]
[[kw:Pennternasedh Unys Arabek]]
[[kw:Pennternasedh Unys Arabek]]
[[la:Phylarchiarum Arabicarum Confoederatio]]
[[la:Phylarchiarum Arabicarum Confoederatio]]

Pitio la 11:59, 21 Mei 2009

Falme za Kiarabu


Falme za Kiarabu (Kiar.: الإمارات العربيّة المتّحدة) ni shirikisho la falme ndogo katika kaskazini-mashariki ya Rasi ya Uarabuni kwenye mwambao wa ghuba ya Uajemi. Mji mkuu ni Abu Dhabi na mji mkubwa ni Dubai.

Shirikisho limepakana na Saudia na Omani kwenye nchi kavu; baharini kuna mipaka pia na Katar. Falme zilikuwa nchi lindwa chini ya Uingereza hadi 1971.

Falme za Kiarabu zimekuwa nchi tajiri kutokana na akiba kubwa za mafuta ya petroli.

Ramani ya Falme za Kiarabu

Falme za shirikisho hili ni:

Jina Eneo (km²) Wakazi
mwisho wa 2006
Abu Dhabi 67.340 2.563.212
Umm al-Quwain 777 68.000
Fujairah 1.165 130.000
Ras al-Khaimah 1.684 214.000
Sharjah 2.590 699.000
Dubai 3.885 1.327.000
Ajmān 259 258.000
Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iraq | Israel | Jamhuri ya China (Taiwan) | Japani | Kamboja | Kazakhstan | Kirgizia | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Laos | Lebanoni | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Saudia | Singapuri | Sri Lanka | Syria | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Turkmenistan | Uajemi | Ufilipino | Uhindi | Urusi1 | Uthai | Uturuki1 | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi iko Asia lakini inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya kwa sababu za historia au utamaduni. 3. Eneo la pekee la China.