Ukame wa Eire : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ro:Marea Foamete; cosmetic changes
d roboti Nyongeza: eu:Irlandako Gosete Handia
Mstari 17: Mstari 17:
[[eo:Granda malsatego en Irlando]]
[[eo:Granda malsatego en Irlando]]
[[es:Gran hambruna irlandesa]]
[[es:Gran hambruna irlandesa]]
[[eu:Irlandako Gosete Handia]]
[[fr:Grande famine en Irlande]]
[[fr:Grande famine en Irlande]]
[[ga:An Gorta Mór]]
[[ga:An Gorta Mór]]

Pitio la 20:29, 19 Mei 2009

Ukame Mkubwa au Njaa Kubwa (Kieire: An Gorta Mór au An Drochshaol) ni jina lilotolewa kwa ajili ya kipindi cha ukame nchini Eire kati ya 1845 na 1849. Nje ya Eire, maranyingi waliita Irish Potato Famine yaani Ukame wa Mbatata Eire. Ukame huo ulisababishwa na mabaka-baka. Mabakabaka ilikuwa ugonjwa uliyoharibu viazi mbatata vya nchini Eire kwa haraka sana.

Viazi mbatata ilikuwa chakula kikubwa kwa nchi ya Eire kwa kipindi hicho. Athali za ukame huo zilikuja kwisha mnamo mwaka wa 1851. Mengi yaliyotokea hayakuwahi kujuilikana kwa kipindi hicho.

Inasadikika kuwa takriban watu 500,000 na zaidi ya milioni moja walipoteza maisha kwa njaa au magonjwa katika miaka hiyo mitatu, kuanzia 1846 hadi 1849. Mamilion ya wengine wakaja kuwa wakimbizi kwasababu ya ukame. Waliondoka Eire na kuhamia Great Britain, Marekani, Kanada, na Australia.