Kiolwa cha angani : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: fy:Himellichem |
d roboti Nyongeza: cs:Astronomický objekt |
||
Mstari 29: | Mstari 29: | ||
[[br:Korf-egor]] |
[[br:Korf-egor]] |
||
[[ca:Objecte astronòmic]] |
[[ca:Objecte astronòmic]] |
||
[[cs:Astronomický objekt]] |
|||
[[da:Himmellegeme]] |
[[da:Himmellegeme]] |
||
[[de:Astronomisches Objekt]] |
[[de:Astronomisches Objekt]] |
Pitio la 19:14, 17 Mei 2009
Gimba la angani ni jina kwa ajili ya magimba yanayopatikana katika anga ya ulimwengu.
Kati ya vitu hivi huhesabiwa:
- Jua
- Sayari
- Miezi
- Vimondo (pia meteori au meteoridi)
- Asteroidi
- Nyotamkia
- Nyota
- Galaksi
- Nebula
- Mawingu
Haya yote ni magimba asilia. Vitu angani vilivyotengenezwa na binadamu ni vyombo vya angani ingawa kuna swali kama mabaki kutokana na vyombyo vya angani vilivyovunjika au takataka kutokana safari za angani yanastahili kuitwa kwa neno hili.
Elimu ya magimba ya angani ni falaki.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |