Wikipedia ya Kihispania : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: zh-yue:西班牙文維基百科 |
d roboti Nyongeza: fi:Wikipedia:Espanjankielinen Wikipedia |
||
Mstari 44: | Mstari 44: | ||
[[eu:Gaztelaniazko Wikipedia]] |
[[eu:Gaztelaniazko Wikipedia]] |
||
[[fa:ویکیپدیای اسپانیایی]] |
[[fa:ویکیپدیای اسپانیایی]] |
||
[[fi:Wikipedia:Espanjankielinen Wikipedia]] |
|||
[[fr:Wikipédia en espagnol]] |
[[fr:Wikipédia en espagnol]] |
||
[[hu:Spanyol Wikipédia]] |
[[hu:Spanyol Wikipédia]] |
Pitio la 20:15, 16 Mei 2009
Kisara | http://es.wikipedia.org/ |
---|---|
Ya kibiashara? | Hapana |
Aina ya tovuti | Mradi wa Kamusi Elezo ya Interneti |
Kujisajiri | Hiari |
Lugha asilia | Kihispania |
Mmiliki | Wikimedia Foundation |
Wikipedia ya Kihispania (Kihispania: Wikipedia en Español) ni toleo la kamusi elezo ya Wikipedia kwa lugha ya Kihispania. Ilianzishwa mnamo mwezi Mei, 2001. Mnamo tar. 8 Machi ya mwaka wa 2006, Wikipedia ya Kihispania imefikisha makala 100,000.
Kwa sasa, ni Wikipedia ya 9 kwa ukubwa kwa hesabu ya makala, inafuatiwa na Wikipedia ya Kisweden mnamo mwezi Aprili, 2007. Zamani ilikuwa Wikipedia ya 8 kwa ukubwa, hadi ilipofika mwezi wa Mei mwaka 2005 ikapitwa na Wikipedia ya Kireno kisha Wikipedia ya Kiitalia kunako mwezi wa Agosti 2005. Mnamo tar. 18 Novemba, 2007, Wikipedia ya Kihispania imefikisha makala 300,000.
Tazama pia
- Wikipedia ya Kiingereza Rahisi
- Wikipedia ya Kijerumani
- Wikipedia ya Kiingereza
- Wikipedia ya Kifaransa
- Wikipedia ya Kiwolofu
- Wikipedia ya Kiyoruba
- Wikipedia ya Kilingala
- Wikipedia ya Kizulu
Viungo vya Nje
- (Kihispania) Spanish Wikipedia
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |