Yordani (mto) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: sk:Jordán
d roboti Nyongeza: arc:ܢܗܪܐ ܕܝܘܪܕܢܢ
Mstari 32: Mstari 32:


[[ar:نهر الأردن]]
[[ar:نهر الأردن]]
[[arc:ܢܗܪܐ ܕܝܘܪܕܢܢ]]
[[be:Рака Іардан]]
[[be:Рака Іардан]]
[[bg:Йордан (река)]]
[[bg:Йордан (река)]]

Pitio la 11:44, 15 Mei 2009

Mto wa Yordani
Mto Yordani
Chanzo Mlima Hermoni (mpakani wa Israel na Lebanon]])
Mdomo Bahari ya Chumvi
Nchi Lebanon, Syria, Israel, Yordani, Palestina
Urefu 400 km (170 km mwendo wa ndege)
Kimo cha chanzo takriban 300 m juu ya UB
Tawimito Hazbani, Dan, Banyas, Yarmuk
Eneo la beseni km²


Yordani (Kiebrania: נהר הירדן nehar hayarden, Kiarabu: نهر الأردن nahr al-urdun) ni mto mdogo katika Mashariki ya Kati lakini ni kati ya mito inayojulikana sana duniani kwa sababu imetajwa mara nyingi katika Biblia. Kwa sehemu kubwa ya njia yake ni mpaka kati ya ufalme wa Yordani upande wa mashariki na maeneo ya Palestina na Israel upande wa magharibi. Katika dini za Uyahudi na Ukristo Yordani ina maana ya kidini.

Chanzo cha Yordani ni mito minne inayoanza karibu na mlima Hermoni mpakani wa Israel, Lebanon na Syria. Mito ya chanzo inaungana katika Israel ya kaskazini. Yordani hupita Galilea na kutelemka kwa kunyoka mara nyingi hadi Bahari ya Chumvi. Mdomo wake uko 400 m chini ya usawa wa bahari hivyo Yordani ni mto wa duni kabisa duniani.

Kiasi cha maji kwenye sehemu ya kusini ya mto kimepungua sana kwa sababu Israel inavuta sehemu kubwa ya maji na kuitumia kwa ajili ya matumizi kibinadamu katika miji yake.

Bonde la Yordani ni sehemu ya kaskazini ya Bonde la Ufa la Afrika ya Mashariki linaloenelea katika bonde la Araba na kupita Bahari ya Shamu hadi kuonekana tena Eritrea.