Joseph Pulitzer : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
dNo edit summary |
d robot Adding: hu:Pulitzer József |
||
Mstari 15: | Mstari 15: | ||
[[he:ג'וזף פוליצר]] |
[[he:ג'וזף פוליצר]] |
||
[[hr:Joseph Pulitzer]] |
[[hr:Joseph Pulitzer]] |
||
[[hu:Pulitzer József]] |
|||
[[it:Joseph Pulitzer]] |
[[it:Joseph Pulitzer]] |
||
[[ja:ジョーゼフ・ピューリツァー]] |
[[ja:ジョーゼフ・ピューリツァー]] |
Pitio la 21:10, 17 Novemba 2006
Joseph Pulitzer (10 Aprili, 1847 – 29 Oktoba, 1911) alikuwa mhariri wa magazeti kutoka nchi ya Marekani; lakini alizaliwa nchi ya Hungaria. Alinunua magazeti mbalimbali na kusimamia uhariri wao. Katika hati ya wasia yake alisaidia kuanzisha Idara ya Uandikaji Habari ndani ya Chuo Kikuu cha Columbia iliyofunguliwa mwaka wa 1912. Tangu 1917, chuo hicho kimetoa Tuzo ya Pulitzer kwa ajili ya maandishi hodari.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |