Wagadugu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: lmo:Ouagadougou |
d roboti Nyongeza: zh-min-nan:Ouagadougou |
||
Mstari 87: | Mstari 87: | ||
[[war:Ouagadougou]] |
[[war:Ouagadougou]] |
||
[[zh:瓦加杜古]] |
[[zh:瓦加杜古]] |
||
[[zh-min-nan:Ouagadougou]] |
Pitio la 03:13, 12 Mei 2009
Wagadugu (kwa Kifaransa huandikwa Ouagadougou) ni mji mkuu wa Burkina Faso, na pia mji mkubwa kabisa wa nchi hiyo. Mwaka 2005 idadi ya wakazi ilikuwa milioni 1,2. Mji unakua haraka.
Wagadugu iko katika jimbo la Kadiogo. Kuna ofisi za serikali na viwanda kadhaa vya nguo na vyakula.
Mji ni pia kitovu cha usafiri na mawasiliano. Kuna kiwanja cha kimataifa cha ndege na njia ya reli kwenda Abidjan (Côte d'Ivoire), halafu barabara za kwenda Lome (Togo), Bamako (Mali), Niamey (Niger), Accra (Ghana).
Wagadugu ina chuo kikuu kilichokuwa chuo cha mwanahistoria maarufu Joseph Ki-Zerbo. Tamasha la kimataifa la filamu za Afrika (FESPACO) hufanyiwa Wagadugu.
Meya wa mji ndiye Simon Compaoré aliyechaguliwa mwaka wa 1995.