Tours : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: la:Turones |
d roboti Nyongeza: war:Tours |
||
Mstari 53: | Mstari 53: | ||
[[vi:Tours]] |
[[vi:Tours]] |
||
[[vo:Tours]] |
[[vo:Tours]] |
||
[[war:Tours]] |
|||
[[zh:图尔]] |
[[zh:图尔]] |
Pitio la 12:20, 10 Mei 2009
Tours ni mji wa Ufaransa ya kati mwenye wakazi 143,000. Uko kando la mto Loire.
Mji unajulikana kihistoria kutokana na askofu Martin wa Tours (mnamo 370) anayekumbukwa kama mtakatifu katika kanisa katoliki.
Mwaka 732 mfalme wa Wafranki Karolo Martell alishinda jeshi la Waarabu katika mapigano ya Tours na Poitiers na kuzuia uenezaji wa Uislamu katika Ulaya ya Magharibi.