Joseph Pulitzer : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: da:Joseph Pulitzer |
d roboti Nyongeza: ka:ჯოზეფ პულიცერი |
||
Mstari 28: | Mstari 28: | ||
[[it:Joseph Pulitzer]] |
[[it:Joseph Pulitzer]] |
||
[[ja:ジョーゼフ・ピューリツァー]] |
[[ja:ジョーゼフ・ピューリツァー]] |
||
[[ka:ჯოზეფ პულიცერი]] |
|||
[[ko:조셉 퓰리처]] |
[[ko:조셉 퓰리처]] |
||
[[lt:Jozefas Pulitzeris]] |
[[lt:Jozefas Pulitzeris]] |
Pitio la 01:40, 8 Mei 2009
Joseph Pulitzer (10 Aprili, 1847 – 29 Oktoba, 1911) alikuwa mhariri wa magazeti kutoka nchi ya Marekani; lakini alizaliwa nchi ya Hungaria. Alinunua magazeti mbalimbali na kusimamia uhariri wao. Katika hati ya wasia yake alisaidia kuanzisha Idara ya Uandikaji Habari ndani ya Chuo Kikuu cha Columbia iliyofunguliwa mwaka wa 1912. Tangu 1917, chuo hicho kimetoa Tuzo ya Pulitzer kwa ajili ya maandishi hodari.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |