Kanuni ya Pauli : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Mstari 33: Mstari 33:
[[ms:Prinsip pengecualian Pauli]]
[[ms:Prinsip pengecualian Pauli]]
[[nl:Uitsluitingsprincipe van Pauli]]
[[nl:Uitsluitingsprincipe van Pauli]]
[[no:Paulis utelukkelsesprinsipp]]
[[no:Paulis eksklusjonsprinsipp]]
[[pl:Reguła Pauliego]]
[[pl:Reguła Pauliego]]
[[pt:Princípio de exclusão de Pauli]]
[[pt:Princípio de exclusão de Pauli]]

Pitio la 21:38, 22 Aprili 2009

Kanuni ya Pauli ilitangazwa mwaka wa 1925 na Wolfgang Pauli. Inahusu elektroni za atomu. Kila elektroni ina tarakimu nne za kwanta. Kanuni ya Pauli inadai kwamba tarakimu hizo nne haziwezekani kuwa sawa kwa elektroni mbili ndani ya atomu moja.