Vistula (mto) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ang:Ƿisle
d roboti Nyongeza: bat-smg:Vīsla
Mstari 26: Mstari 26:
[[ang:Ƿisle]]
[[ang:Ƿisle]]
[[ar:فيستولا]]
[[ar:فيستولا]]
[[bat-smg:Vīsla]]
[[be:Рака Вісла]]
[[be:Рака Вісла]]
[[be-x-old:Вісла]]
[[be-x-old:Вісла]]

Pitio la 19:49, 19 Aprili 2009

Vistula
Kipoland: Wisła
Vistula karibu na Warshawa, Poland.
Chanzo Milima ya Beskidi
Mdomo Bahari ya Baltiki
Nchi Poland
Urefu 1,047 km
Kimo cha chanzo 1,106 m
Mkondo 1,054 m³/s
Eneo la beseni 194,424 km²
Nchi za beseni: Poland,
Ukraine, Belarus, Slovakia
Miji mikubwa kando lake Krakov, Warshawa, Thorun, Gdansk

Vistula (Kipoland: Wisła tamka: viswa) ni mto mkubwa nchini Poland mwenye urefu wa 1047 km.

Chanzo chake ni katika milima ya Beskidi inaishia katika Bahari Baltiki. Inapita kwenye miji mikubwa ya Krakov na Warshawa.