Hipparchos wa Nikaia : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: arz:هيپارخوس
d roboti Nyongeza: bg:Хипарх
Mstari 17: Mstari 17:
[[arz:هيپارخوس]]
[[arz:هيپارخوس]]
[[be:Гіпарх]]
[[be:Гіпарх]]
[[bg:Хипарх]]
[[ca:Hiparc de Nicea]]
[[ca:Hiparc de Nicea]]
[[cs:Hipparchos]]
[[cs:Hipparchos]]

Pitio la 09:49, 19 Aprili 2009

Faili:Hipparchos 1.jpeg
Hipparchos

Hipparchos (Kigiriki Ἵππαρχος; takr. 190 KK hadi takr. 120 KK) alikuwa mtaalamu wa falaki, jiografia na hisabati wa Ugiriki ya Kale.

Alizaliwa mjini Nikaia (leo: Iznik katika Uturuki) akafariki kwenye kisiwa cha Rhodos. Hutazamiwa kama mwanafalaki muhimu kabisa wa nyakati za kale.

Aliorodhesha nyota 800 na kuzichora katika ramani ya anga. Aliweza kukadiria kupatwa kwa jua na kukutabiri.

Katika hisabati alianzisha mbinu za kijiometria kwa mfano mgawanyo wa duara kuwa na nyuzi 360.

Kigezo:Link FA