Port Bell : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: it:Port Bell |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[Image:Port_Bell_Place_Uganda.png|thumb|300px|Mahali pa Port Bell katika Uganda]] |
[[Image:Port_Bell_Place_Uganda.png|thumb|300px|Mahali pa Port Bell katika Uganda]] |
||
'''Port Bell''' ni mji mdogo karibu na [[Kampala]]/ [[Uganda]] ufukoni wa ziwa la [[ |
'''Port Bell''' ni mji mdogo karibu na [[Kampala]]/ [[Uganda]] ufukoni wa ziwa la [[Nyanza Lac]]. Jina la mji limetokana na Sir [[Hesketh Bell]] aliyekuwa kamishna (gavana) Mwingereza huko Uganda kuanzia mw. 1905-1909. |
||
Port Bell ni bandari kwa ajili ya Kampala. Feri zinatoka kwenda [[Jinja]], [[Kisumu]] na [[Mwanza]]. |
Port Bell ni bandari kwa ajili ya Kampala. Feri zinatoka kwenda [[Jinja]], [[Kisumu]] na [[Mwanza]]. |
Pitio la 14:48, 15 Aprili 2009
Port Bell ni mji mdogo karibu na Kampala/ Uganda ufukoni wa ziwa la Nyanza Lac. Jina la mji limetokana na Sir Hesketh Bell aliyekuwa kamishna (gavana) Mwingereza huko Uganda kuanzia mw. 1905-1909.
Port Bell ni bandari kwa ajili ya Kampala. Feri zinatoka kwenda Jinja, Kisumu na Mwanza.
Kuna viwanda kadhaa kama vile Kiwanda cha Bia cha Uganda Breweries; bia ya Bell Lager inatengenezwa hapa. Kuna pia kiwanda cha pombe kali aina ya Waragi na kiwanda cha chai.