Mpumalanga : Tofauti kati ya masahihisho
d roboti Nyongeza: xh:IPhondo yaMpumalanga |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: eu:Mpumalanga; cosmetic changes |
||
Mstari 2: | Mstari 2: | ||
|+ style="margin-left:inherit; font-size:larger;"|<big>'''Mpumalanga'''</big> |
|+ style="margin-left:inherit; font-size:larger;"|<big>'''Mpumalanga'''</big> |
||
|- |
|- |
||
|colspan="2" style="text-align:center;"|[[ |
|colspan="2" style="text-align:center;"|[[Picha:Mpumalanga coa.png]] |
||
|- |
|- |
||
|'''[[Mji Mkuu]]''' |
|'''[[Mji Mkuu]]''' |
||
Mstari 13: | Mstari 13: | ||
| [[Thabang Makwetla]] ([[African National Congress|ANC]]) |
| [[Thabang Makwetla]] ([[African National Congress|ANC]]) |
||
|- |
|- |
||
|'''Eneo'''<br> |
|'''Eneo'''<br /> |
||
|Nafasi ya 8 kati ya majimbo ya Afrika Kusini]] |
|Nafasi ya 8 kati ya majimbo ya Afrika Kusini]] |
||
|- |
|- |
||
Mstari 29: | Mstari 29: | ||
|- |
|- |
||
|valign=top|'''Lugha''' |
|valign=top|'''Lugha''' |
||
| [[SiSwati]] (30.8%)<br>[[IsiZulu]] (26.4%)<br>[[IsiNdebele]] (12.1%)<br>[[Sepedi]] (10.8%) |
| [[SiSwati]] (30.8%)<br />[[IsiZulu]] (26.4%)<br />[[IsiNdebele]] (12.1%)<br />[[Sepedi]] (10.8%) |
||
|- |
|- |
||
|valign=top|'''Wakazi kimbari''' |
|valign=top|'''Wakazi kimbari''' |
||
| Waafrika Weusi(92.4%)<br>Wazungu (6.5%)<br>Chotara(0.2%)<br>Wenye asili ya Asia (0.2%) |
| Waafrika Weusi(92.4%)<br />Wazungu (6.5%)<br />Chotara(0.2%)<br />Wenye asili ya Asia (0.2%) |
||
|- |
|- |
||
|colspan="2" style="text-align:center;"|[[ |
|colspan="2" style="text-align:center;"|[[Picha:South_Africa_Provinces showing_MP.png|250px|Mahali pa Mpumalanga]] |
||
|} |
|} |
||
Mstari 42: | Mstari 42: | ||
Neno Mpumalanga limetokana katika lugha ya Kiswazi likimaanisha "mahali pa macheo". |
Neno Mpumalanga limetokana katika lugha ya Kiswazi likimaanisha "mahali pa macheo". |
||
==Jiografia== |
== Jiografia == |
||
Mpumalanga imepakana na [[Uswazi]] na [[Msumbiji]] halafu na majimbo ya [[KwaZulu-Natal]], [[Dola Huru]], [[Gauteng]] na [[Limpopo]]. [[Hifadhi ya Kruger]] ambayo ni [[hifadhi ya wanyama]] mashuhuri imo jimboni. |
Mpumalanga imepakana na [[Uswazi]] na [[Msumbiji]] halafu na majimbo ya [[KwaZulu-Natal]], [[Dola Huru]], [[Gauteng]] na [[Limpopo]]. [[Hifadhi ya Kruger]] ambayo ni [[hifadhi ya wanyama]] mashuhuri imo jimboni. |
||
Kuna kanda mbili za tambarare za juu penye [[usimbishaji]] kidogo na tambarare za duni penye mvua nyingi. |
Kuna kanda mbili za tambarare za juu penye [[usimbishaji]] kidogo na tambarare za duni penye mvua nyingi. |
||
==Uchumi== |
== Uchumi == |
||
===Kilimo=== |
=== Kilimo === |
||
Sehemu kubwa ya eneo hutumiwa kwa kilimo. Mazao ni pamoja na mahindi, ngano, ntama, alizeti, soya, karanga, miwa, mboga, kahawa, chai, pamba, tumbako, machungwa na matgunda mengine. |
Sehemu kubwa ya eneo hutumiwa kwa kilimo. Mazao ni pamoja na mahindi, ngano, ntama, alizeti, soya, karanga, miwa, mboga, kahawa, chai, pamba, tumbako, machungwa na matgunda mengine. |
||
Mstari 55: | Mstari 55: | ||
Takriban 14% za eneo hutumiwa kwa mifugo hasa ng'ombe na kondoo. |
Takriban 14% za eneo hutumiwa kwa mifugo hasa ng'ombe na kondoo. |
||
===Migodi=== |
=== Migodi === |
||
Kati ya madini yanayochimbwa ni: dhahabu, platini, shabha, makaa mawe na mengi mengine. |
Kati ya madini yanayochimbwa ni: dhahabu, platini, shabha, makaa mawe na mengi mengine. |
||
Mpumalanga huzalisha 83% za makaa mawe ya Afrika Kusini. |
Mpumalanga huzalisha 83% za makaa mawe ya Afrika Kusini. |
||
===Utalii=== |
=== Utalii === |
||
Hifadhi ya Kruger ina eneo la 20,000 km² hutembelewa sana na watalii. |
Hifadhi ya Kruger ina eneo la 20,000 km² hutembelewa sana na watalii. |
||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
[[af:Mpumalanga]] |
[[af:Mpumalanga]] |
||
Mstari 79: | Mstari 78: | ||
[[es:Mpumalanga]] |
[[es:Mpumalanga]] |
||
[[et:Mpumalanga]] |
[[et:Mpumalanga]] |
||
[[eu:Mpumalanga]] |
|||
[[fi:Mpumalanga]] |
[[fi:Mpumalanga]] |
||
[[fr:Mpumalanga]] |
[[fr:Mpumalanga]] |
Pitio la 04:13, 12 Aprili 2009
Faili:Mpumalanga coa.png | |
Mji Mkuu | Nelspruit |
’‘‘Mji Mkubwa’’’ | Nelspruit |
Waziri Mkuu | Thabang Makwetla (ANC) |
Eneo |
Nafasi ya 8 kati ya majimbo ya Afrika Kusini]] |
- Jumla | 79 490 km² |
Wakazi | Nafasi ya 5 kati ya majimbo ya Afrika Kusini |
- Jumla (2001) | 3 122 994 |
- Msongamano wa watu / km² | 39/km² |
Lugha | SiSwati (30.8%) IsiZulu (26.4%) IsiNdebele (12.1%) Sepedi (10.8%) |
Wakazi kimbari | Waafrika Weusi(92.4%) Wazungu (6.5%) Chotara(0.2%) Wenye asili ya Asia (0.2%) |
Mpumalanga (kabla ya 2002 iliitwa Eastern Transvaal) ni moja kati ya majimbo 9 za Afrika Kusini. Kuna wakazi 3,364,000 (2001) kwenye eno la 79,512 km². Jimbo lilianzishwa mwaka 1994 kutokana na sehemu za jimbo la awali la Transvaal na maeneo ya bantustan KaNgwane, KwaNdebele na Lebowa. Mji mkuu ni Nelspruit.
Neno Mpumalanga limetokana katika lugha ya Kiswazi likimaanisha "mahali pa macheo".
Jiografia
Mpumalanga imepakana na Uswazi na Msumbiji halafu na majimbo ya KwaZulu-Natal, Dola Huru, Gauteng na Limpopo. Hifadhi ya Kruger ambayo ni hifadhi ya wanyama mashuhuri imo jimboni.
Kuna kanda mbili za tambarare za juu penye usimbishaji kidogo na tambarare za duni penye mvua nyingi.
Uchumi
Kilimo
Sehemu kubwa ya eneo hutumiwa kwa kilimo. Mazao ni pamoja na mahindi, ngano, ntama, alizeti, soya, karanga, miwa, mboga, kahawa, chai, pamba, tumbako, machungwa na matgunda mengine.
Misitu huvunwa hasa katika kaskazini penye kiwanda kikubwa cha karatasi cha Ngodwana.
Takriban 14% za eneo hutumiwa kwa mifugo hasa ng'ombe na kondoo.
Migodi
Kati ya madini yanayochimbwa ni: dhahabu, platini, shabha, makaa mawe na mengi mengine.
Mpumalanga huzalisha 83% za makaa mawe ya Afrika Kusini.
Utalii
Hifadhi ya Kruger ina eneo la 20,000 km² hutembelewa sana na watalii.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |