Mpumalanga : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: xh:IPhondo yaMpumalanga
d roboti Nyongeza: eu:Mpumalanga; cosmetic changes
Mstari 2: Mstari 2:
|+ style="margin-left:inherit; font-size:larger;"|<big>'''Mpumalanga'''</big>
|+ style="margin-left:inherit; font-size:larger;"|<big>'''Mpumalanga'''</big>
|-
|-
|colspan="2" style="text-align:center;"|[[Image:Mpumalanga coa.png]]
|colspan="2" style="text-align:center;"|[[Picha:Mpumalanga coa.png]]
|-
|-
|'''[[Mji Mkuu]]'''
|'''[[Mji Mkuu]]'''
Mstari 13: Mstari 13:
| [[Thabang Makwetla]] ([[African National Congress|ANC]])
| [[Thabang Makwetla]] ([[African National Congress|ANC]])
|-
|-
|'''Eneo'''<br>
|'''Eneo'''<br />
|Nafasi ya 8 kati ya majimbo ya Afrika Kusini]]
|Nafasi ya 8 kati ya majimbo ya Afrika Kusini]]
|-
|-
Mstari 29: Mstari 29:
|-
|-
|valign=top|'''Lugha'''
|valign=top|'''Lugha'''
| [[SiSwati]] (30.8%)<br>[[IsiZulu]] (26.4%)<br>[[IsiNdebele]] (12.1%)<br>[[Sepedi]] (10.8%)
| [[SiSwati]] (30.8%)<br />[[IsiZulu]] (26.4%)<br />[[IsiNdebele]] (12.1%)<br />[[Sepedi]] (10.8%)
|-
|-
|valign=top|'''Wakazi kimbari'''
|valign=top|'''Wakazi kimbari'''
| Waafrika Weusi(92.4%)<br>Wazungu (6.5%)<br>Chotara(0.2%)<br>Wenye asili ya Asia (0.2%)
| Waafrika Weusi(92.4%)<br />Wazungu (6.5%)<br />Chotara(0.2%)<br />Wenye asili ya Asia (0.2%)
|-
|-
|colspan="2" style="text-align:center;"|[[Image:South_Africa_Provinces showing_MP.png|250px|Mahali pa Mpumalanga]]
|colspan="2" style="text-align:center;"|[[Picha:South_Africa_Provinces showing_MP.png|250px|Mahali pa Mpumalanga]]
|}
|}


Mstari 42: Mstari 42:
Neno Mpumalanga limetokana katika lugha ya Kiswazi likimaanisha "mahali pa macheo".
Neno Mpumalanga limetokana katika lugha ya Kiswazi likimaanisha "mahali pa macheo".


==Jiografia==
== Jiografia ==
Mpumalanga imepakana na [[Uswazi]] na [[Msumbiji]] halafu na majimbo ya [[KwaZulu-Natal]], [[Dola Huru]], [[Gauteng]] na [[Limpopo]]. [[Hifadhi ya Kruger]] ambayo ni [[hifadhi ya wanyama]] mashuhuri imo jimboni.
Mpumalanga imepakana na [[Uswazi]] na [[Msumbiji]] halafu na majimbo ya [[KwaZulu-Natal]], [[Dola Huru]], [[Gauteng]] na [[Limpopo]]. [[Hifadhi ya Kruger]] ambayo ni [[hifadhi ya wanyama]] mashuhuri imo jimboni.


Kuna kanda mbili za tambarare za juu penye [[usimbishaji]] kidogo na tambarare za duni penye mvua nyingi.
Kuna kanda mbili za tambarare za juu penye [[usimbishaji]] kidogo na tambarare za duni penye mvua nyingi.


==Uchumi==
== Uchumi ==
===Kilimo===
=== Kilimo ===
Sehemu kubwa ya eneo hutumiwa kwa kilimo. Mazao ni pamoja na mahindi, ngano, ntama, alizeti, soya, karanga, miwa, mboga, kahawa, chai, pamba, tumbako, machungwa na matgunda mengine.
Sehemu kubwa ya eneo hutumiwa kwa kilimo. Mazao ni pamoja na mahindi, ngano, ntama, alizeti, soya, karanga, miwa, mboga, kahawa, chai, pamba, tumbako, machungwa na matgunda mengine.


Mstari 55: Mstari 55:
Takriban 14% za eneo hutumiwa kwa mifugo hasa ng'ombe na kondoo.
Takriban 14% za eneo hutumiwa kwa mifugo hasa ng'ombe na kondoo.


===Migodi===
=== Migodi ===
Kati ya madini yanayochimbwa ni: dhahabu, platini, shabha, makaa mawe na mengi mengine.
Kati ya madini yanayochimbwa ni: dhahabu, platini, shabha, makaa mawe na mengi mengine.


Mpumalanga huzalisha 83% za makaa mawe ya Afrika Kusini.
Mpumalanga huzalisha 83% za makaa mawe ya Afrika Kusini.


===Utalii===
=== Utalii ===
Hifadhi ya Kruger ina eneo la 20,000 km² hutembelewa sana na watalii.
Hifadhi ya Kruger ina eneo la 20,000 km² hutembelewa sana na watalii.
{{mbegu}}


[[Jamii:Majimbo ya Afrika Kusini]]

[[Category:Majimbo ya Afrika Kusini]]
{{mbegu}}


[[af:Mpumalanga]]
[[af:Mpumalanga]]
Mstari 79: Mstari 78:
[[es:Mpumalanga]]
[[es:Mpumalanga]]
[[et:Mpumalanga]]
[[et:Mpumalanga]]
[[eu:Mpumalanga]]
[[fi:Mpumalanga]]
[[fi:Mpumalanga]]
[[fr:Mpumalanga]]
[[fr:Mpumalanga]]

Pitio la 04:13, 12 Aprili 2009

Mpumalanga
Faili:Mpumalanga coa.png
Mji Mkuu Nelspruit
’‘‘Mji Mkubwa’’’ Nelspruit
Waziri Mkuu Thabang Makwetla (ANC)
Eneo
Nafasi ya 8 kati ya majimbo ya Afrika Kusini]]
- Jumla 79 490 km²
Wakazi Nafasi ya 5 kati ya majimbo ya Afrika Kusini
- Jumla (2001) 3 122 994
- Msongamano wa watu / km² 39/km²
Lugha SiSwati (30.8%)
IsiZulu (26.4%)
IsiNdebele (12.1%)
Sepedi (10.8%)
Wakazi kimbari Waafrika Weusi(92.4%)
Wazungu (6.5%)
Chotara(0.2%)
Wenye asili ya Asia (0.2%)
Mahali pa Mpumalanga


Mpumalanga (kabla ya 2002 iliitwa Eastern Transvaal) ni moja kati ya majimbo 9 za Afrika Kusini. Kuna wakazi 3,364,000 (2001) kwenye eno la 79,512 km². Jimbo lilianzishwa mwaka 1994 kutokana na sehemu za jimbo la awali la Transvaal na maeneo ya bantustan KaNgwane, KwaNdebele na Lebowa. Mji mkuu ni Nelspruit.

Neno Mpumalanga limetokana katika lugha ya Kiswazi likimaanisha "mahali pa macheo".

Jiografia

Mpumalanga imepakana na Uswazi na Msumbiji halafu na majimbo ya KwaZulu-Natal, Dola Huru, Gauteng na Limpopo. Hifadhi ya Kruger ambayo ni hifadhi ya wanyama mashuhuri imo jimboni.

Kuna kanda mbili za tambarare za juu penye usimbishaji kidogo na tambarare za duni penye mvua nyingi.

Uchumi

Kilimo

Sehemu kubwa ya eneo hutumiwa kwa kilimo. Mazao ni pamoja na mahindi, ngano, ntama, alizeti, soya, karanga, miwa, mboga, kahawa, chai, pamba, tumbako, machungwa na matgunda mengine.

Misitu huvunwa hasa katika kaskazini penye kiwanda kikubwa cha karatasi cha Ngodwana.

Takriban 14% za eneo hutumiwa kwa mifugo hasa ng'ombe na kondoo.

Migodi

Kati ya madini yanayochimbwa ni: dhahabu, platini, shabha, makaa mawe na mengi mengine.

Mpumalanga huzalisha 83% za makaa mawe ya Afrika Kusini.

Utalii

Hifadhi ya Kruger ina eneo la 20,000 km² hutembelewa sana na watalii.