Amerigo Vespucci : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: sq:Amerigo Vespucci
d roboti Nyongeza: eu:Amerigo di Vespucci; cosmetic changes
Mstari 1: Mstari 1:
[[Image:Amerigo Vespucci.jpg|thumb|left|150px|Amerigo Vespucci]]
[[Picha:Amerigo Vespucci.jpg|thumb|left|150px|Amerigo Vespucci]]


'''Amerigo Vespucci''' (* [[9 Machi]] [[1451]] mjini [[Firenze]]/[[Italia]], + [[22 Februari]] [[1512]] mjini [[Sevilla]]/[[Hispania]]) alikuwa mtoto wa tatu wa mwanasheria wa Firenze. Alikua kuwa mfanyabiashara, nahodha na mpelelezi kwenye pwani za [[Amerika Kusini]]. Bara za Amerika zilipokea jina kutoka kwake (Amerigo - Amerika)
'''Amerigo Vespucci''' (* [[9 Machi]] [[1451]] mjini [[Firenze]]/[[Italia]], + [[22 Februari]] [[1512]] mjini [[Sevilla]]/[[Hispania]]) alikuwa mtoto wa tatu wa mwanasheria wa Firenze. Alikua kuwa mfanyabiashara, nahodha na mpelelezi kwenye pwani za [[Amerika Kusini]]. Bara za Amerika zilipokea jina kutoka kwake (Amerigo - Amerika)


Amerigo alifanya kazi kwa kampuni ya [[Medici]] akatumwa nayo [[1491]] kwenda [[Sevilla]] katika [[Hispania]]. Hapa alikutana na [[Kolumbus]] akirudi kutoa [[Amerika]]. Mwaka [[1499]] alichukua nafasi yeye mwenyewe na kibali cha akina Medici akajiunga na safari kwenda Amerika kufuata nyayo za safari ya tatu ya Kolumbus kwa kusudi kugundua zaidi ya pwani jinsi Kolumbus alivyoweza. Mbele ya pwani la Guyana (leo: [[Surinam]]) aliachana na wenzake akiendelea kuelekea kusini akafika hadi mdomo wa [[mto Amazonas]] akiamini ya kwamba amefika Uhindi jinsi ilivyokuwa imani ya kawaida wakti ule.
Amerigo alifanya kazi kwa kampuni ya [[Medici]] akatumwa nayo [[1491]] kwenda [[Sevilla]] katika [[Hispania]]. Hapa alikutana na [[Kolumbus]] akirudi kutoa [[Amerika]]. Mwaka [[1499]] alichukua nafasi yeye mwenyewe na kibali cha akina Medici akajiunga na safari kwenda Amerika kufuata nyayo za safari ya tatu ya Kolumbus kwa kusudi kugundua zaidi ya pwani jinsi Kolumbus alivyoweza. Mbele ya pwani la Guyana (leo: [[Surinam]]) aliachana na wenzake akiendelea kuelekea kusini akafika hadi mdomo wa [[mto Amazonas]] akiamini ya kwamba amefika Uhindi jinsi ilivyokuwa imani ya kawaida wakti ule.


Katika safari ya pili kwenda Amerika Kusini mwaka [[1501]] / [[1502]] alipita mwambao wa [[Brazil]] na [[Argentina]] hadi [[Patagonia]]. Aliporudi aliamini ya kwamba nchi ngàmbo ya [[Atlantiki]] si [[Asia]] lakini "dunia mpya" au bara jipya. Maandiko yake yalisambaa kote [[Ulaya]] na mjiografia Mjerumani [[Martin Waldseemüller]] alitumia jina la "[[Amerika]]" kwa heshima ya Amerigo alipochora ramani yake ya dunia ya mwaka [[1507]].
Katika safari ya pili kwenda Amerika Kusini mwaka [[1501]] / [[1502]] alipita mwambao wa [[Brazil]] na [[Argentina]] hadi [[Patagonia]]. Aliporudi aliamini ya kwamba nchi ngàmbo ya [[Atlantiki]] si [[Asia]] lakini "dunia mpya" au bara jipya. Maandiko yake yalisambaa kote [[Ulaya]] na mjiografia Mjerumani [[Martin Waldseemüller]] alitumia jina la "[[Amerika]]" kwa heshima ya Amerigo alipochora ramani yake ya dunia ya mwaka [[1507]].

[[Category:Wapelelezi wa Amerika|Vespucci, Amerigo]]
[[Jamii:Wapelelezi wa Amerika|Vespucci, Amerigo]]
[[Category:Wapelelezi kutoka Italia|Vespucci, Amerigo]]
[[Jamii:Wapelelezi kutoka Italia|Vespucci, Amerigo]]


[[ar:أميريغو فسبوتشي]]
[[ar:أميريغو فسبوتشي]]
Mstari 24: Mstari 24:
[[es:Américo Vespucio]]
[[es:Américo Vespucio]]
[[et:Amerigo Vespucci]]
[[et:Amerigo Vespucci]]
[[eu:Amerigo di Vespucci]]
[[fa:آمریگو وسپوچی]]
[[fa:آمریگو وسپوچی]]
[[fi:Amerigo Vespucci]]
[[fi:Amerigo Vespucci]]

Pitio la 03:13, 10 Aprili 2009

Amerigo Vespucci


Amerigo Vespucci (* 9 Machi 1451 mjini Firenze/Italia, + 22 Februari 1512 mjini Sevilla/Hispania) alikuwa mtoto wa tatu wa mwanasheria wa Firenze. Alikua kuwa mfanyabiashara, nahodha na mpelelezi kwenye pwani za Amerika Kusini. Bara za Amerika zilipokea jina kutoka kwake (Amerigo - Amerika)

Amerigo alifanya kazi kwa kampuni ya Medici akatumwa nayo 1491 kwenda Sevilla katika Hispania. Hapa alikutana na Kolumbus akirudi kutoa Amerika. Mwaka 1499 alichukua nafasi yeye mwenyewe na kibali cha akina Medici akajiunga na safari kwenda Amerika kufuata nyayo za safari ya tatu ya Kolumbus kwa kusudi kugundua zaidi ya pwani jinsi Kolumbus alivyoweza. Mbele ya pwani la Guyana (leo: Surinam) aliachana na wenzake akiendelea kuelekea kusini akafika hadi mdomo wa mto Amazonas akiamini ya kwamba amefika Uhindi jinsi ilivyokuwa imani ya kawaida wakti ule.

Katika safari ya pili kwenda Amerika Kusini mwaka 1501 / 1502 alipita mwambao wa Brazil na Argentina hadi Patagonia. Aliporudi aliamini ya kwamba nchi ngàmbo ya Atlantiki si Asia lakini "dunia mpya" au bara jipya. Maandiko yake yalisambaa kote Ulaya na mjiografia Mjerumani Martin Waldseemüller alitumia jina la "Amerika" kwa heshima ya Amerigo alipochora ramani yake ya dunia ya mwaka 1507.