Kanisa kuu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: zh:主教座堂
d roboti Badiliko: ko:주교좌 성당
Mstari 36: Mstari 36:
[[ja:大聖堂]]
[[ja:大聖堂]]
[[ka:საკათედრო ტაძარი]]
[[ka:საკათედრო ტაძარი]]
[[ko:대성당]]
[[ko:주교좌 성당]]
[[la:Cathedralis]]
[[la:Cathedralis]]
[[lb:Kathedral]]
[[lb:Kathedral]]

Pitio la 21:16, 6 Aprili 2009

Kanisa kuu ni jina la heshima la jengo la ibada la Ukristo ambalo Askofu wa jimbo (dayosisi) fulani analitumia kwa kawaida kutekeleza kazi yake kama mchungaji mkuu wa waamini wake.

Jina hilo linashuhudiwa tayari na maandishi ya mwaka 516.

Linaitwa pia "kanisa mama" kwa sababu ni kama mama ya makanisa yote ya jimbo hilo.

Ndani yake umo ukulu, yaani kiti cha Askofu kisichopatikana katika makanisa mengine.