Bahari ya Adria : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: mg:Ranomasina adriatika |
d roboti Badiliko: tl:Dagat Adriyatiko |
||
Mstari 75: | Mstari 75: | ||
[[sr:Јадранско море]] |
[[sr:Јадранско море]] |
||
[[sv:Adriatiska havet]] |
[[sv:Adriatiska havet]] |
||
[[tl:Dagat |
[[tl:Dagat Adriyatiko]] |
||
[[tr:Adriyatik Denizi]] |
[[tr:Adriyatik Denizi]] |
||
[[uk:Адріатичне море]] |
[[uk:Адріатичне море]] |
Pitio la 15:55, 6 Aprili 2009
Bahari ya Adria au kwa kifupi "Adria" ni ghuba ya Mediteranea kati ya Rasi ya Italia na Rasi ya Balkani. i
Nchi zinazopakana nayo ni Italia, Slovenia, Kroatia, Bosnia na Herzegovina, Montenegro na Albania.
Adria huelekea kaskazini magharibi kutoka 40°N hadi 45° 45' N.. Urefu wake ni km 770 km na upana waka kwa wastani ni km 160. Sehemu nyembamba ni mlango wa Ortranto mwenye upana wa km 85. Eeno lake ni mnamo km² 160,000.
Mwambao wa kaskazini una visiwa vingi hasa mbele ya pwani la Kroatia.