Bahari ya Adria : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: mg:Ranomasina adriatika
d roboti Badiliko: tl:Dagat Adriyatiko
Mstari 75: Mstari 75:
[[sr:Јадранско море]]
[[sr:Јадранско море]]
[[sv:Adriatiska havet]]
[[sv:Adriatiska havet]]
[[tl:Dagat Adriatic]]
[[tl:Dagat Adriyatiko]]
[[tr:Adriyatik Denizi]]
[[tr:Adriyatik Denizi]]
[[uk:Адріатичне море]]
[[uk:Адріатичне море]]

Pitio la 15:55, 6 Aprili 2009

Bahari ya Adria jinsi inavyoonekana kutoka angani
Ramani ya Adria

Bahari ya Adria au kwa kifupi "Adria" ni ghuba ya Mediteranea kati ya Rasi ya Italia na Rasi ya Balkani. i

Nchi zinazopakana nayo ni Italia, Slovenia, Kroatia, Bosnia na Herzegovina, Montenegro na Albania.

Adria huelekea kaskazini magharibi kutoka 40°N hadi 45° 45' N.. Urefu wake ni km 770 km na upana waka kwa wastani ni km 160. Sehemu nyembamba ni mlango wa Ortranto mwenye upana wa km 85. Eeno lake ni mnamo km² 160,000.

Mwambao wa kaskazini una visiwa vingi hasa mbele ya pwani la Kroatia.