Nyuki : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: chr:ᏩᏚᎵᏏ
d roboti Nyongeza: lv:Bites; cosmetic changes
Mstari 20: Mstari 20:
Nyuki za asali mara nyingi wanafugwa lakini wengine wanaishi porini na asali yao inakusanywa kwa kuvunja mzinga wao. Katika Afrika kwa jumla sehemu ya asali bado inatokana na nyuki asali wa porini lakini ufugaji nyuki unapanua.
Nyuki za asali mara nyingi wanafugwa lakini wengine wanaishi porini na asali yao inakusanywa kwa kuvunja mzinga wao. Katika Afrika kwa jumla sehemu ya asali bado inatokana na nyuki asali wa porini lakini ufugaji nyuki unapanua.


[[Image:HoneyBeeAnatomy.png|thumb|200px|left|Mwili wa nyuki]]
[[Picha:HoneyBeeAnatomy.png|thumb|200px|left|Mwili wa nyuki]]
==Mwili wa nyuki==
== Mwili wa nyuki ==
Mwili una pande tatu jinsi ilvyo kwa wadudu wote: [[kichwa]] mbele, [[kidari]] katikati na [[tumbo]] nyuma, halafu jozi tatu za miguu na jozi mbili za mabawa.
Mwili una pande tatu jinsi ilvyo kwa wadudu wote: [[kichwa]] mbele, [[kidari]] katikati na [[tumbo]] nyuma, halafu jozi tatu za miguu na jozi mbili za mabawa.


Mstari 28: Mstari 28:
Nyuma ya tumbo wanabeba mwiba wanaotumia kudunga wakijisikia wameshambuliwa. Wakidunga mwiba wanaingiza pia kiasi kidogo cha sumu katika kidonda. Sumu hii inasababisha maumivu na watu wengine wanaathiriwa vikali lakini si kila mtu. Kuna nyuki wanaokufa baada ya kudunga kwa sababu mwiba unabaki kwenye kidonda lakini wengine wanaweza kutoa mwiba na kudunga tena.
Nyuma ya tumbo wanabeba mwiba wanaotumia kudunga wakijisikia wameshambuliwa. Wakidunga mwiba wanaingiza pia kiasi kidogo cha sumu katika kidonda. Sumu hii inasababisha maumivu na watu wengine wanaathiriwa vikali lakini si kila mtu. Kuna nyuki wanaokufa baada ya kudunga kwa sababu mwiba unabaki kwenye kidonda lakini wengine wanaweza kutoa mwiba na kudunga tena.


==Wadudu wa kijamii==
== Wadudu wa kijamii ==
Nyuki asali ni wadudu wa kijamii maana yake wanaishi katika kundi si peke yao kama aina nyingine za nyuki. Wanajenga [[sega]] ya [[nta]] ndani ya [[mzinga wa nyuki]] na humu wanatunza asali [[yao]].
Nyuki asali ni wadudu wa kijamii maana yake wanaishi katika kundi si peke yao kama aina nyingine za nyuki. Wanajenga [[sega]] ya [[nta]] ndani ya [[mzinga wa nyuki]] na humu wanatunza asali [[yao]].


Kuna aina tatu za nyuki ndani ya kundi na mzinga wao ambao ni
Kuna aina tatu za nyuki ndani ya kundi na mzinga wao ambao ni
*malkia wa nyuki ni mama wa nyuki wote ndani ya kundi na kazi yake ni kutega mayai pekee
* malkia wa nyuki ni mama wa nyuki wote ndani ya kundi na kazi yake ni kutega mayai pekee
*nyuki wafanyakazi ni wakazi wengi wa mzinga na wote ni wa kike. Ni hao wanaofanya kazi yote kama kukusanya mbelewele, kusafisha mzinga, kutengeneza nta , kujenga sega, kumlisha malkia na wadogo, kultetea mzinga
* nyuki wafanyakazi ni wakazi wengi wa mzinga na wote ni wa kike. Ni hao wanaofanya kazi yote kama kukusanya mbelewele, kusafisha mzinga, kutengeneza nta , kujenga sega, kumlisha malkia na wadogo, kultetea mzinga
*nyuki dume ni wachache na kazi yao ya pekee ni kuzaa na malkia; baadaye wanafukuzwa kwenye mzinga na hawapewi chakula tena
* nyuki dume ni wachache na kazi yao ya pekee ni kuzaa na malkia; baadaye wanafukuzwa kwenye mzinga na hawapewi chakula tena


{{commonscat|Bee|Nyuki}}
{{commonscat|Bee|Nyuki}}


{{stub}}
{{stub}}
[[Category:Wadudu]]

<!-- interwiki -->
<!-- interwiki -->

[[Jamii:Wadudu]]


[[ar:نحلة]]
[[ar:نحلة]]
Mstari 78: Mstari 78:
[[la:Anthophila]]
[[la:Anthophila]]
[[lt:Bitiniai]]
[[lt:Bitiniai]]
[[lv:Bites]]
[[nds:Immen]]
[[nds:Immen]]
[[no:Bier]]
[[no:Bier]]

Pitio la 08:28, 2 Aprili 2009

Nyuki
Nyuki anayekusanya mbelewele
Nyuki anayekusanya mbelewele
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Arthropodi (Wanyama wasio na ugwe wa mgongo na miguu ya kuunga kama wadudu, nge, buibui)
Ngeli: Wadudu
Oda: Hymenoptera (Wadudu wenye mabavu angavu)
Familia: Apidae (Wadudu wanaofanana na nyuki)
Jenasi: Apis (nyuki wa asali)
Spishi: spishi saba, hasa Apis mellifera (Ulaya, Afrika) na Apis cerana (Asia)

Nyuki ni mdudu mwenye mabawa manne angavu na mwiba kwenye nyuma ya mwili wake anayekusanya mbelewele ya maua kama chakula chake. Aina inayojulikana hasa ni nyuki wa asali wa familia apis. Kuna spishi zaidi za 20,000 zinazojumlishwa na biolojia kati ya nyuki lakini ni wale wa jenasi apis wanaokusanya asali inayovunwa na wanadamu.

Nyuki za asali mara nyingi wanafugwa lakini wengine wanaishi porini na asali yao inakusanywa kwa kuvunja mzinga wao. Katika Afrika kwa jumla sehemu ya asali bado inatokana na nyuki asali wa porini lakini ufugaji nyuki unapanua.

Mwili wa nyuki

Mwili wa nyuki

Mwili una pande tatu jinsi ilvyo kwa wadudu wote: kichwa mbele, kidari katikati na tumbo nyuma, halafu jozi tatu za miguu na jozi mbili za mabawa.

Mwili huwa na nywele na ina rangi kali za njano-nyeusi kama onyo dhidi ya maadui.

Nyuma ya tumbo wanabeba mwiba wanaotumia kudunga wakijisikia wameshambuliwa. Wakidunga mwiba wanaingiza pia kiasi kidogo cha sumu katika kidonda. Sumu hii inasababisha maumivu na watu wengine wanaathiriwa vikali lakini si kila mtu. Kuna nyuki wanaokufa baada ya kudunga kwa sababu mwiba unabaki kwenye kidonda lakini wengine wanaweza kutoa mwiba na kudunga tena.

Wadudu wa kijamii

Nyuki asali ni wadudu wa kijamii maana yake wanaishi katika kundi si peke yao kama aina nyingine za nyuki. Wanajenga sega ya nta ndani ya mzinga wa nyuki na humu wanatunza asali yao.

Kuna aina tatu za nyuki ndani ya kundi na mzinga wao ambao ni

  • malkia wa nyuki ni mama wa nyuki wote ndani ya kundi na kazi yake ni kutega mayai pekee
  • nyuki wafanyakazi ni wakazi wengi wa mzinga na wote ni wa kike. Ni hao wanaofanya kazi yote kama kukusanya mbelewele, kusafisha mzinga, kutengeneza nta , kujenga sega, kumlisha malkia na wadogo, kultetea mzinga
  • nyuki dume ni wachache na kazi yao ya pekee ni kuzaa na malkia; baadaye wanafukuzwa kwenye mzinga na hawapewi chakula tena
Wikimedia Commons ina media kuhusu: