Falme za Kiarabu : Tofauti kati ya masahihisho
d roboti Badiliko: hi:सयुंक्त अरब इमारात |
d roboti Badiliko: gv:Ny h-Emmiraidyn Arabagh Unnaneysit |
||
Mstari 131: | Mstari 131: | ||
[[gd:Na h-Iomaratan Arabach Aonaichte]] |
[[gd:Na h-Iomaratan Arabach Aonaichte]] |
||
[[gl:Emiratos Árabes Unidos - الإمارات العربيّة المتّحدة]] |
[[gl:Emiratos Árabes Unidos - الإمارات العربيّة المتّحدة]] |
||
[[gv:Ny h- |
[[gv:Ny h-Emmiraidyn Arabagh Unnaneysit]] |
||
[[hak:Â-lâ-pak Lièn-ha̍p Thai-kûng-koet]] |
[[hak:Â-lâ-pak Lièn-ha̍p Thai-kûng-koet]] |
||
[[he:איחוד האמירויות הערביות]] |
[[he:איחוד האמירויות הערביות]] |
Pitio la 06:45, 30 Machi 2009
Falme za Kiarabu |
---|
Falme za Kiarabu (Kiar.: الإمارات العربيّة المتّحدة) ni shirikisho la falme ndogo katika kaskazini-mashariki ya Rasi ya Uarabuni kwenye mwambao wa ghuba ya Uajemi. Mji mkuu ni Abu Dhabi na mji mkubwa ni Dubai.
Shirikisho limepakana na Saudia na Omani kwenye nchi kavu; baharini kuna mipaka pia na Katar. Falme zilikuwa nchi lindwa chini ya Uingereza hadi 1971.
Falme za Kiarabu zimekuwa nchi tajiri kutokana na akiba kubwa za mafuta ya petroli.
Falme za shirikisho hili ni:
Jina | Eneo (km²) | Wakazi mwisho wa 2006 |
---|---|---|
Abu Dhabi | 67.340 | 2.563.212 |
Umm al-Quwain | 777 | 68.000 |
Fujairah | 1.165 | 130.000 |
Ras al-Khaimah | 1.684 | 214.000 |
Sharjah | 2.590 | 699.000 |
Dubai | 3.885 | 1.327.000 |
Ajmān | 259 | 258.000 |
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Nchi na maeneo ya Asia |
Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iraq | Israel | Jamhuri ya China (Taiwan) | Japani | Kamboja | Kazakhstan | Kirgizia | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Laos | Lebanoni | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Saudia | Singapuri | Sri Lanka | Syria | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Turkmenistan | Uajemi | Ufilipino | Uhindi | Urusi1 | Uthai | Uturuki1 | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani |
1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi iko Asia lakini inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya kwa sababu za historia au utamaduni. 3. Eneo la pekee la China. |