Fransisko wa Paola : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
d roboti Nyongeza: sv:Franciskus av Paola
Mstari 18: Mstari 18:
[[Category:Waliozaliwa 1416]]
[[Category:Waliozaliwa 1416]]
[[Category:Waliofariki 1507]]
[[Category:Waliofariki 1507]]



[[ca:Sant Francesc de Paula]]
[[ca:Sant Francesc de Paula]]
Mstari 30: Mstari 29:
[[nap:San Franciscu i Paula]]
[[nap:San Franciscu i Paula]]
[[nl:Franciscus van Paola]]
[[nl:Franciscus van Paola]]
[[pms:Fransesch ëd Pàola]]
[[pl:Franciszek z Paoli]]
[[pl:Franciszek z Paoli]]
[[pms:Fransesch ëd Pàola]]
[[pt:Francisco de Paula]]
[[pt:Francisco de Paula]]
[[ro:Francisc din Paola]]
[[ro:Francisc din Paola]]
[[sv:Franciskus av Paola]]

Pitio la 01:39, 30 Machi 2009

Mtakatifu Fransisko wa Paola (Francesco di Paola, 14161507) alikuwa mtawa nchini Italia. Ametambuliwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni 2 Aprili.

Maisha

Fransisko alizaliwa katika mji wa Paola, mkoa wa Kalabria, Italia, mwaka wa 1416. Alianzisha shirika la watawa wakaa-pweke, ambalo baadaye lilibadilisha na kuwa Utawa wa Wadogo Kabisa, na likapata kibali kutoka kwa Papa mwaka wa 1506. Fransisko alikufa mwaka wa 1507 huko Tours, Ufaransa.

Tazama pia

Marejeo

  • "Sala ya Kanisa - Vipindi vya Liturjia", Toleo la Tatu 1996, Ndanda - Peramiho: Benedictine Publications, uk.1328