Fransisko wa Paola : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
d roboti Nyongeza: sv:Franciskus av Paola |
||
Mstari 18: | Mstari 18: | ||
[[Category:Waliozaliwa 1416]] |
[[Category:Waliozaliwa 1416]] |
||
[[Category:Waliofariki 1507]] |
[[Category:Waliofariki 1507]] |
||
[[ca:Sant Francesc de Paula]] |
[[ca:Sant Francesc de Paula]] |
||
Mstari 30: | Mstari 29: | ||
[[nap:San Franciscu i Paula]] |
[[nap:San Franciscu i Paula]] |
||
[[nl:Franciscus van Paola]] |
[[nl:Franciscus van Paola]] |
||
⚫ | |||
[[pl:Franciszek z Paoli]] |
[[pl:Franciszek z Paoli]] |
||
⚫ | |||
[[pt:Francisco de Paula]] |
[[pt:Francisco de Paula]] |
||
[[ro:Francisc din Paola]] |
[[ro:Francisc din Paola]] |
||
[[sv:Franciskus av Paola]] |
Pitio la 01:39, 30 Machi 2009
Mtakatifu Fransisko wa Paola (Francesco di Paola, 1416 – 1507) alikuwa mtawa nchini Italia. Ametambuliwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni 2 Aprili.
Maisha
Fransisko alizaliwa katika mji wa Paola, mkoa wa Kalabria, Italia, mwaka wa 1416. Alianzisha shirika la watawa wakaa-pweke, ambalo baadaye lilibadilisha na kuwa Utawa wa Wadogo Kabisa, na likapata kibali kutoka kwa Papa mwaka wa 1506. Fransisko alikufa mwaka wa 1507 huko Tours, Ufaransa.
Tazama pia
Marejeo
- "Sala ya Kanisa - Vipindi vya Liturjia", Toleo la Tatu 1996, Ndanda - Peramiho: Benedictine Publications, uk.1328
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |